Ni changamoto sana, kuna jamaa yangu aliagiza Dar ila nahsi amepigwa copy maana inagonga kiasi alafu haikai na chaji. Mi nimeamua kuchukua ya oraimo angalau najua sio copy na inagonga vizuri sana ukilinganisha na bei yake.
Haya maisha haya, juzi kati hapa nimepaka rangi nyumba yangu, ile mvua ya kwanza kunyesha ukuta juu kidogo ya msingi ukawa unachafuliwa na maji ya kwenye bati yanayomwagika ardhini, kutafuta fundi akanipa bei hazieleweki. Nikasema kwani sayansi ya hapa si kutafuta slope tuu, nilitenga wikiendi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.