vvm
JF-Expert Member
- Jul 18, 2014
- 6,311
- 10,353
Nawasalimu kwa jina la Jamhuri,
Kwanza kabisa mimi na raia mwema na sina nia ya kukwepa ushuru wa tarura tena ukizangitia fees zao ni ndogo sana kwa sasa (reasonable).
Niendelee, leo nimeangalia ushuru wa maegesho kwenye website ya TARURA nakukuta nadaiwa nilipoangalia maelezo ya Tiketi nimekuta tiketi ni ya tarehe 10.12.2022 siku ambayo sikutoka nyumbani kabisa na nina ushahidi hakuna mtu aliyetoka na hii gari maana nimefunga GPS na hii siku kwenye database gari haikutembea kabisa!
Kwenu Tarura Mwanza Gari ambayo imepark nyumbani inawezaje kutozwa ushuru wa parking ?
Je, mnacontrol gani kwa watoza ushuru wenu wasiweze kutoza kiholela kwasababu wale ni mawakala mnatumia mfumo gani kuhakikasha hizi claim ni sahihi na mawakala hawachakachui ili kuonekana ushuru ni mkubwa ili hali ni wakubambikia?
Naweza kufikisha malalmiko yangu wapi kwa urahisi na nikasikilizwa? Ni ujinga kutumia mafuta ya ya 6000 kwaajili ya kwenda kulalamikia tozo ya 500, wanahotline ya malalmiko? Inapokelewa na changamoto zinatatulika au watanilipa usumbufu?
Mdau wa JF Karibu kama ulishawahi kukutwa na hili na ulifanya nini kulitatua?
Kama kuna mtu wa Tarura huku na unania ya kufuatilia hili zaidi karibu pm nitakupa maelezo zaidi.
Kwanza kabisa mimi na raia mwema na sina nia ya kukwepa ushuru wa tarura tena ukizangitia fees zao ni ndogo sana kwa sasa (reasonable).
Niendelee, leo nimeangalia ushuru wa maegesho kwenye website ya TARURA nakukuta nadaiwa nilipoangalia maelezo ya Tiketi nimekuta tiketi ni ya tarehe 10.12.2022 siku ambayo sikutoka nyumbani kabisa na nina ushahidi hakuna mtu aliyetoka na hii gari maana nimefunga GPS na hii siku kwenye database gari haikutembea kabisa!
Kwenu Tarura Mwanza Gari ambayo imepark nyumbani inawezaje kutozwa ushuru wa parking ?
Je, mnacontrol gani kwa watoza ushuru wenu wasiweze kutoza kiholela kwasababu wale ni mawakala mnatumia mfumo gani kuhakikasha hizi claim ni sahihi na mawakala hawachakachui ili kuonekana ushuru ni mkubwa ili hali ni wakubambikia?
Naweza kufikisha malalmiko yangu wapi kwa urahisi na nikasikilizwa? Ni ujinga kutumia mafuta ya ya 6000 kwaajili ya kwenda kulalamikia tozo ya 500, wanahotline ya malalmiko? Inapokelewa na changamoto zinatatulika au watanilipa usumbufu?
Mdau wa JF Karibu kama ulishawahi kukutwa na hili na ulifanya nini kulitatua?
Kama kuna mtu wa Tarura huku na unania ya kufuatilia hili zaidi karibu pm nitakupa maelezo zaidi.