Recent content by Ze Best Mama

  1. Z

    Ushawahi fikiria hili na wewe?

    Umenena Mkuu,haya mapenzi ni habari tatanishi kwa dunia tunayoiishi leo,usije tamka eti mi siwezi kuoa masikini/tajiri wakati hujui kesho yako ipoje na usiishi kimazoea. Hata wanawake machizi barabarani nao wana watoto na walipendwa hvohvo ktk uchizi wao lakini pia wanapenda,SO BE CARE...
  2. Z

    Kama hupendi gharama soma hapa!

    Ha!Ha!Ha! kama ulipenda kugegeda kugharamia muhimu,mtamwagwa na kuchapiwa kila siku afu mnakuja jf mnalialia 2 hapa tukushauri nini wakati ubahili ndo kipaumbele chako!! Achana Na Ulofa Mwanaume!!!
  3. Z

    Kabila linalowajali zaidi wanawake wanapojifungua,Wachagga wajitamba

    Ni Kweli Wanajitahidi Kuwajibika Na Familia Zao,tatizo Jamaa Wengi Wao Ni Makoleric Hvo Maisha Yao Kwny Ndoa Ni Shughuli Nzito Lazima Mwanamke Udhibitishwe Kuwa Na Moyo Wa Upendo Na Uvumilivu.
  4. Z

    Kukosa Haya!!!

    of Course Wakuu,lakini Nimesomeka
  5. Z

    Kwanini wanawake hukimbia waume zao kipindi hali ya fedha si nzuri?

    Mara nyingi wanawake wa aina hiyo huwa ni ulimbukeni kama si utoto unasumbua kumkichwa,lakini pia wanaume wanaokimbiwa ulimbukeni wa kuoa mwenza sahihi unawahusu. Hivo basi ni vema kuishi ktk hofu ya MUNGU na kuwa halisi katka ubora wako.
  6. Z

    Kukosa Haya!!!

    Hi Wakuu!! Kuna Kisa Kimemtokea rafiki yangu anaomba ushauri wenu wadau,ni mdada mzuri 2 lakini mapenzi yanamtesa kutokana na hulka aliyonayo hana makuu Bestito huyu ila kuna mkaka ametokea kumpenda huyu Best yeye anadai hampendi sababu ni ubabe wake,lakini huyu Best ana mahusiano na...
  7. Z

    Msaada wa maneno "sex maniac"

    Sikubaliani na hoja yako Mkuu,huo umaniac tumeutoa wapi kama si "dyudyu" hzo??.Cha ajabu zaidi mwanamke aliezalia nyumbani anaonekana malaya kuliko mwanaume msababishi wa hyo mimba,hvi nyie viumbe (me) mnajielewa kweli???? Kwa hyo hoja yako hata wale wehu wanaozalishwa kila kukicha nao ni...
  8. Z

    Mke wangu anawafundisha watoto dini yake kwa siri, kinyume na amri yangu

    Wakati Mnaoana Si Kila Mtu Alikuwa Na Dini Yake??? Vivo Hivo Toeni Uhuru Watoto Wachague Dini Waitakayo Maana Wazazi Mshalikoroga Ndo Mlinywe Sasa Japo Chungu!!! Pia Huyo Mwanamke Yupo Sahihi Kabisa Anatimiza Wajibu Wake Kama Mama Hvo Basi Punguza Udikteta Umuelewe/akuelewe,UMENISOMA???
  9. Z

    Tafsiri ya rangi za shuka kitandani

    Mara Ooh! Mwanamke Shanga,mara Eeh!! Mwanamke Limbwata Mara Iih!!Ujue Mahaba Leo Tena Mashuka Tushike Lipi Sasa????
  10. Z

    Mrejesho

    hivi Wakati Unafanya Maamuzi Magumu Uliakumbuka Kuagana Na Nyonga???!!! Maana Hizi Ndoa Za Sasa Ni Jehanum Kamili
  11. Z

    Takwimu za mwisho wa mwaka 2015, mwanaume janjaruka

    Hahahahaha!!! Ndo Mnavodanganyana Hvo?? Kutongozwa Muhimu Ila Msimamo Wa Mwanamke Ndo Mpango Mzima Hvo Kumwamini Mwanamke Wako Pia Ni Muhimu
  12. Z

    Mi si mtu sahihi kwake

    Ujitathmini Wewe Unahitaji Nini Na Yeye Anahitaji Nini,hapo Itafahamika We Unamfaa Au Hakufai Wewe
  13. Z

    Mwanaume

    Vianaume Vingne Ni Shida Tupu,yaan Vimekariri Maisha Utadhani Darasa La Pili Na Table
Back
Top Bottom