Mrejesho

Mrejesho

Daaaah! Kweli penye miti hakuna wajenzi! Pole mkuu, hakuna haja ya kukimbia! Mbanane hapohapo ipo cku kitaeleweka tu.
 
Huko tunasema ni kufunga jipu kabla hujalitumbua na kulisafisha. Unakoelekea ni kujitumbukiza kwenye ufuska kamili.
Mpe kwanza Bwana Yesu maisha yako. Uwe muombaji kwelikweli na haswa kuiombea nyumba yako na familia yako. Utaona maajab muda si mwingi. Zaidi ya yote, zidisha penzi kwa mumeo uliyezaa naye hao watoto
 
Kuwa makini make umefamya maamuzi sahihi,lkn kumbuka mke hawezi kuushinda mwili wke mwenyewe,hili unaliongelea vp?make nina uhakika urijali unao.
Pole sana na mungu akutangulie ktk maamuz yko.
 
Kuna watu wameolewa lakini wanaishi kama wajane! Mda mwingine sionagi hata tofauti ya walioolewa na wasioolewa! We are in the same hell dealing with different devils!
 
Hayo ndo maisha sasa, usisahau na kumuibia hela akirudi chakari, kwanini ujipe stress kwa mtu ambae yupo kwenye starehe zake?
 
inbox yako imejaa PM za hatari maana wanaume wa jf wasione kichaka!
 
Back
Top Bottom