Recent content by Zacharia Lubazu

  1. Zacharia Lubazu

    Kuja kwa Sevilla: Simba watapigwa hadi wachakae!

    Kwa mfano,Samahani lkn;Sevilla ya kutoka HISPANIA ikifungwa na Simba Sc ya kutoka TANZANIA,Wewe Utaumiaje? [emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji38]
  2. Zacharia Lubazu

    JK maana yake nini?

    JK-Jungu Kuu Sent using Jamii Forums mobile app
  3. Zacharia Lubazu

    Taratibu za kumuona Rais Mstaafu Jakaya Kikwete

    JPM ndio habari ya mjini huku kwetu Mtwara na Lindi
  4. Zacharia Lubazu

    Kufungiwa kwa wimbo wa "Mwanza" wa Rayvanny na Diamond: Je, ni mawazo ya bodi nzima au mtu binafsi!?

    Mimi huo wimbo sitaki hata kuusikia,Wcb ni wangese sana.Wanatakiwa wafungiwe Maisha
  5. Zacharia Lubazu

    Profesa Jay ft Juma Nature-Zali La Mentali(Lyrics)

    All in all Old is Gold
  6. Zacharia Lubazu

    Huyu mwanamke anakuja na binti yake mdogo wakati wa kufanya Mapenzi! Nimeshamkataza, hasikii.

    Ulitakiwa Uachane haraka sana na huyo Mwanamke maana hajitambui na kama utaendeleza Mahusiano naye IPO siku utaumbuka na utajilaumu zaidi ya sana maana naona akili za huyo mwanamke na za kwako zinakaribia kuendana!
  7. Zacharia Lubazu

    Kila siku mnaonewa na mnaishia kulalamika .

    Babu yangu kaniagiza maji ya kunywa,Nitarudi hivi punde!
  8. Zacharia Lubazu

    Tukio la Bobi Wine: Tanzania tuko kimya, Kenya kesho wanaandamana

    Hahahaha kwa hiyo unahamasisha Maandamano? Andamana ukione chamtemakuni.Uhuru na haki unayoitaka pasipo kuwa na Nidhamu utasubiri sana! Sent using Jamii Forums mobile app
  9. Zacharia Lubazu

    Mwanaume kubeba mimba

    Endelea kuota mkuu,ila nakuomba usiote Unatoa kero yako mbele ya Mkulu maana unaweza sema Una degree ya Education Engineering ya Siasa yenye GPA ya 50.Hahahahaha! Sent using Jamii Forums mobile app
  10. Zacharia Lubazu

    Mitandao ya kijamii ifungwe watu watie akili!

    Weka jina halisi kwanza,kwani ww jina lako halisi ni mtundu27? Sent using Jamii Forums mobile app
  11. Zacharia Lubazu

    Kailima Ramadhan: Uchaguzi 2015 ulikuwa huru na wa haki, CHADEMA imeshindwa kihalali! Hakuna upendeleo kwa CCM, NEC ni Tume huru

    Dah! Chdm kwl ni kundi la wahuni,mbn mnasahau mlivyokuwa mnashabikia ya Kenyatta-Kenya.? Nyie si ndio mlikuwa mnasema Uchaguzi Kenya ni wa huru na haki.? Mbn yaliyotokea Kenya na Tanzania unaweza sema yanafanana? Ebu badilikeni bhn,Chdm Mnazingua!
  12. Zacharia Lubazu

    Rais Magufuli tunamtaka Dr. Slaa

    Ndoto zmetimia,Bavicha wanasema tayari fadhila imelipwa!
  13. Zacharia Lubazu

    Mwananchi: Tanzania yachanua utawala bora ripoti ya Mo Ibrahim

    Mkuu Mo Ibrahim yupi maana Mimi namjua mmoja tu ambaye Ni Mo Ibrahim(Mchezaji wa Simba Sport club)
Back
Top Bottom