Recent content by yyy

  1. yyy

    JWTZ wapewa kazi ya kusambaza vifaa vya maabara Thamani ya 16.9Bln katika Shule za Sekondari 1,696

    Supplier anaitwa S.Scientific Centre.. JW anatoa storage na namna ya kuvikisha mashulen tu... S.S.C anavifikisha katika vituo teule vya jesh tayar kupekwa ktka shule husika...kwa kanda ya pwan centre ni lugalo ulipofanyika uzinduzi jana.. Note: JW at this point is not a supplier ..
  2. yyy

    Marry a woman with a brain, because they all have vaginas

    wakuu mm kwa akili yangu ndogo nimemuelewa mtoa mada kwa namna tofaut.. 1. kwa upande mmoja nakubaliana nanyi kuwa akili ni uwezo wa kutizama mambo kwa upana wake na kufanya reasonable decisions.. 2. Suala la mwanamke mwenye akili hapa tunazungumzia, "UWEZO WAKE KATIKA MAISHA KWA UPANA WAKE...
  3. yyy

    Bashe: Kuna kikundi ndani ya Idara ya Usalama (TISS) kinahusika na utekaji. Wabunge 11 wapo kwenye orodha ya kutekwa

    vema hayo ni mawazo yako ila yamekuwa finyu sana..pole kwa kuwaza sawa na mtoto mchanga
  4. yyy

    Naweza fanya biashara gani kwa mtaji wa 15m?

    I am thinking of a project of that capital.. Pia co vigumu kuinvest kiasi kikubwa mwenye hiyo idea yako... Lete hiyo idea tuichambue
  5. yyy

    Naweza fanya biashara gani kwa mtaji wa 15m?

    Habari wana jukwaa wenzangu, Nimepata fund kutoka kwa ndugu yangu wa karibu na amenitaka nipresent viable business idea and its plan as well. Nimejaribu kujiongeza kwa kujifunza hali ya kiuchumi na kisiasa tuliyonayo kwa sasa hapa nchini nikajikuta napoteza idea zote. Tafadhali naombeni...
  6. yyy

    Wizara ya elimu kwa hili hapana

    Ukiona watu wanafanya mambo ya kusadikika ujue uwezo wao nao ni wa kusadikika na wanatoka taifa la kusadikika as well... Hahhaaaa.. Lafing but deeply crying
  7. yyy

    Nin Tafsi Ya Mvua Kutonyesha ktk Msimu Huu wa Sikukuu

    Mh...! Hii ni ishara ya kuwapo kwa janga la njaa katika mataifa mbali mbali Kwa serikali makini ningetemea kuona mikakati ya makusudi ikianza mara moja ili kupunguza matokeo ya janga hili...
  8. yyy

    USHUHUDA: Hivi ndivyo mafuta yanavyoibiwa Bandarini Dar...

    KUMEKUWA NA UMILIKI WA KUWEKWA KWENYE HAYA MAKAMPUNI, Ya kwamba kabuni ni mali mali ya bwana X lakini Memorandum of association na ducument zote zinasema wamiliki waarabu.. hapa ndipo msingi mkubwa wa kwanini makampuni yanafanya madudu ya ajabu lakini tunaendelea kuona yakifubmiwa macho tuu
Back
Top Bottom