Recent content by YYOLOKA MBONDE

  1. Y

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Ushauri: Anatembea na mke wangu, nimegundua na ananitishia maisha

    Nitafute nikueleze dawa yake hakika wanawake atawala kwa macho maisha yake yote .puuzi sana huyo mtu.ila uwe na uhakika kuwa anatembea nae kweli Sent using Jamii Forums mobile app
  2. Y

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Msaada: Mfanyakazi mwenzangu anasema ameshamla sana mpenzi wangu wa sasa

    Huyo mpenzi wako akalalamike kuchafuliwa na huyo jamaa ama serikali ya mtaa ama ofusini.Kama ni kweli hawezi kufanya hivyo kama si kweli atafanya hivyo.Lakini hata wewe kwa kuwa tayari ishakuchoma ,itakuuma sana na utakosa amani ktk ndoa yenu juu ya huyo bint.Tayari una dukuduku moyoni japo kuwa...
  3. Y

    JamiiForums Tanzania Mwanaume kifua na six packs na ndo ugonjwa wa kinadada wengi

    Hiyo six p ndiyo nini Sent from my H8501 using JamiiForums mobile app
  4. Y

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Nachukia sana kutongozwa hovyo hovyo

    Maji ya mvua hayaulizi pa kupita.Mdomo ama lips za mwanamke hazifanani kila mtu na lipsi zake Sent from my H8501 using JamiiForums mobile app
  5. Y

    JamiiForums Tanzania Mbunge Viti Maalum Sikudhani Chikambo, anusurika kifo kwenye ajali

    Dumila wami dakawa ni eneo hatari kwa vip
  6. Y

    JamiiForums Tanzania Habari ya jiji Nissan patrol nismo

    Ipi sifa zake?ainisha sifa zale hasa kona ya gjafla tukio la ghafla ubora wa breki hasa za ghafla stamina ya mwendo barabarani hasa kwenye rat roads uwezo wa mwanga wa taa uwezo wa kuinuka uturivu wa ndani hasa kwenye korogetion nk.ebu ainisha hayo
  7. Y

    JamiiForums Tanzania Lumia 950XL vs Galaxy J7 Prime vs iphone 6s

    LUMIA NDIYO KILA KITU
  8. Y

    JamiiForums Tanzania Kanisa katoliki nchini Malta labariki Ushoga

    Walikuja Africa kwa jina la wamisional kumbe wapelelezi wakafuta mila zetu wakatuletea zao na kuziita zetu za kishenzi wakatuachia dini na kuifanya ndiyo mila sahihi sasa wanakuja na ushenzi zaidi.
  9. Y

    JamiiForums Tanzania Tetesi: Bodi ya Ushauri ya Kimataifa Kuhudhuria Mazungumzo ya Barrick/Acacia na Serikali

    Hakuna kuogopa mmatumbi hakumuogopa mjerumani itakuwa hao
  10. Y

    JamiiForums Tanzania TAARIFA: Wageni Wanaoalikwa Kuja Nchini na Taasisi za Kidini

    Nilijua hili litatokea.Ule umati umewatisha si kidogo.Na ndiyo maana umeme ukizimwa
  11. Y

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Wanaume, sio vizuri kudhalilisha wanawake waliovaa nguo fupi kwakuwa si mwanamke wako

    Akome wakomege
  12. Y

    JamiiForums Tanzania Wakati nchi ikijiandaa katika Vita ya kiuchumi na ACACIA, Mfahamu vizuri Peter Munk

    Kazi ipo ila kukata tamaa mwiko
Back
Top Bottom