Hute
JF-Expert Member
- Nov 25, 2010
- 6,537
- 6,458
ulitaka akwambieje sasa, kuwa kachezea sana kisimi cha mchumba wako, anajua kona zote za shubiri ya mchumba wako, na hata ukioa anajua ni wapi unaenda kuwa unachomeka, hadi atakuwa anakushangaa kama utaendelea naye wakati yeye pengine ladha yake anaijua na hakuifurahia hadi akamwacha....?acheni uzinzi ndio maana yanawakuta hayo.Habari zenu wadau,
Mimi ni mgeni kidogo hapa JF,
Ni mwajiriwa na kipato chango si haba, kinaridhisha kwa kiasi chake, kuna binti hapa mtaani nipo nae yapata miezi mitatu, ni msichana mrembo tu katika warembo, twende kwenye point, hii nyumba ninayoishi ni ya ofisi, nina mfanyakazi mwenzangu ambae kila kukicha anamzungumzia huyu mwanamke wangu.
Anasema alishawahi mla kabla yangu (sina hakika) na hana time nae, nilimuuliza huyu binti amenijibu tu kuwa alimtongozaga akamkataa, mbaya zaidi anaenda kisimulia hadi ofisini kuwa nataka kuoa mwanamke ambae yeye amemtumia sana.
Na hii tabia ya kusema kila mwanamke amepita nayo anayo sana, naombeni mnishauri ndugu zangu nifanye nini maana moyo wangu unaumia sana, niachane na huyu mwanamke au nifanyeje.
Ushauri wenu tafadhali, nipo njia panda
Sent using jamii forums mobile app