Hahahaha nakumbuka shule ya isenga nipo na uniform zangu za kijan very smart, ila kuandika kwenye mchanga ndiyo ilikuwa inshu mwaka 88 dah tumetoka mbali. Sana
Waache kuidanganya dunia wamechoka naitafuta na kwa kifupi wamezidiwa ujanja wa kitechnolojia walikubali hili kwanza, kweli huku dunian ukijifanya wewe ndiyo zaid kuna zaid yako, siwez. Sema r.I.p maana sina uhakika kama kweli hizo habar n za kweli.
Wenzio tupo huku wilaya ya ngorongoro tunapiga story na wamasai mashuka yananuka balaa hadi tumezoea hapa nilipo nimempata diwani ndiyo nimeamua kujilipua. Nenda huko ukapate maisha bora
Wapeleke kwa mashangazi zao yaan upande wa baba yako, yaan wewe mvumilivu hongera kwa hilo, mm nisingoweza jaman nani kama mama sembuse hao intruder mpfyuuuuu
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.