It's most likely wamarekani wamecheleweshwa sana kufanikisha kuipata hiyo ndege kutokana na sera za kijinga za umagharibi na umashariki za kichina za wamalaysia lakini wamarekani wanaonekana kuwa na uelekeo sahihi na wanaweza kuipata soon.
Siasa ni mchezo mbaya sana...
Siasa ni mchezo mbaya sana...