Maneno hayo hayawezi kuondolewa katika kamusi kwa sababu zifuatazo,
1. ndio maneno msingi au mama wa maneno mapya yanayozaliwa leo hii
2. maneno hayo msingi hatuyatumii kwa kuwa tumekuta jamii tunayoishi nayo haitumii maneno hayo ingawa kwenye kamusi yapo. Hii ina maana kuwa tumerithishwa...
Habari zenu waungwana,
Naombeni msaada wenu, juu ya maana ya neno "Asha kum si Matusi"
Maana watu hulitumia na kuweka neno la tusi mfano; Asha kum si matusi - Mbwa wewe.
Habari zenu wanna jf, namshukuru mungu mm mzima....
Jibu la swali lako ni kuwa, kamusi NI kitabu kinachobeba maneno na kuyatolea maana(kidahizo/vidahizo) lengo kubwa la kuunda kamusi ni kuhifadhi maneno, tukumbuke kuwa kuhifadhi Jambo katika maandishi huweza kudumu kwa mda mrefu kuliko...
ila Kuna baadhi ya maeneo hata Kama hujafanya mazoezi utajikuta tu una nguvu, mfano: Wale wanaosubiri matatu( daladala) kutoka mbagala kuelekea k,Koo / gongo la mboto[emoji23][emoji23][emoji23]
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.