Recent content by Yukwapi

  1. Y

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Mwanangu usiniletee single maza

    Duhh asanteni ila nimegundua wazazi wanazalilika sana kwenye jamii na thamani Yao inashuka pale kijana wao anapoo oaa single maza nimejaribu kumuuliza baba wa rafiki yangu alieoa single maza kiukweli kwa majibu yake nikwamba alizarauliwa sana na jamii kwa kushinda kumuongoza mwanae kwenye swala...
  2. Y

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Mwanangu usiniletee single maza

    Kwani hiyo mada ya yeye kutaka niwe na uzao wakwanza kwa mwanamke anamaanisha Nini au kunamazara Gani uzao wakwanza kutoka kwa mtuu mwingine?
  3. Y

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Mwanangu usiniletee single maza

    Asante
  4. Y

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Mwanangu usiniletee single maza

    Habari Wana JF Mwanangu usiniletee single maza🙏 Hii nikauli iliyotoka kwenye kunywa Cha baba yangu nilipomueleza kua nataka kuoaa. Ipo hivi nilipata kazi mwanza miaka miwili iliyopita na katika harakati za kazi nilikutana na bint aliezalishwa mtoto mmoja,tulikua marafiki na meishowe tuliingia...
  5. Y

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Usikurupuke kuingia kwenye ndoa...

    Kataa ndoaa niutapeli
  6. Y

    JamiiForums Tanzania Maalumu kumsaidia Rais (target upigaji kwenye procurement). Faida kwa Taifa

    Wasalam watanzania Poleni kwa kusahau report ya CAG kutokana na kuwabize na kulinda nyeti zenu🙏 Kwanza Mimi sio mwandishi mzurii ila jitahidini kusoma hivyo kwani najilaumu kwa kukataa shule😭 ###MFUMOO WA PROCUREMENT## Huo mfumoo walioshauri uanzishwe walikua washasukuma kete either +ve or -ve...
  7. Y

    JamiiForums Tanzania Una miaka zaidi ya 65, unajenga nyumba ya nini?

    Nguvu mpyaa za skuizii changamoto Yan kijana mbichi anachowaza nimshahara tuu swala la kusogeza taasisi mbelee haimuhusu😂
  8. Y

    JamiiForums Tanzania Nataka nikusanye kiasi cha million 25, nitumie mbinu gani?

    Ela yakula unataka kuisave ?? Upo serious kweli? Unaupendo wa dhati kwa familia Yako??
  9. Y

    JamiiForums Tanzania KERO Je, UTT AMIS kuna kitu kinafichwa bila sisi wanachama kujua?

    Kama benki ela zilipakuliwaa bila maelezo yeyote sijui ujasiri wakuziweka uko utti mnapatawapi
  10. Y

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Snoop Doggy: Kama ni Mwanaume na una Uwezo wa kumwacha Mke wako Nyumbani na wewe utafute hela, basi Fanya hivyo

    Siwakatishi tamaa kwamaana Kuna vijana uku kwenye utumishii wamewaoaa kabisa
  11. Y

    JamiiForums Tanzania Biashara ambayo inaweza kufanyika Masasi mjini Mtwara

    Udalali wa nyeti 😒
  12. Y

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Snoop Doggy: Kama ni Mwanaume na una Uwezo wa kumwacha Mke wako Nyumbani na wewe utafute hela, basi Fanya hivyo

    Kama mkeoo analeta ela ndani juaa uko anapoenda kujitaftiaa kunawatu wanaminyaa balaa walimu mashahid🙏
  13. Y

    JamiiForums Tanzania KERO Watumishi ngazi ya chini TANAPA tuna hali ngumu; kipato hakitoshi!

    Ishi na waliokutangulia kazin vizuri hutolalamika tena naujifunze kufuta mdomoo baada ya kula
  14. Y

    JamiiForums Tanzania KERO TANESCO, sisi Wafanyakazi wa S.T.E Boresheni Mikataba yetu au tupeni Mikataba ya Kudumu

    Wenzenu wa vikundi wanapata 150 000 nawanateseka na miradi maporini wewe unapata laki6 unapiga kelele 😒😒 Minashauri ili kazi ziende kwa haraka na wananchii wapate huduma kwa wakati naona muwekwe kwenye vikundi hii itachachochea utendaji kazi 🙏🙏
  15. Y

    JamiiForums Tanzania KERO Kilio cha Watumishi wa Bugando: Changamoto, Unyanyasaji na Ukiukwaji wa Haki za Wafanyakazi

    Kwan hospital niyaserikali au binafsi??
Back
Top Bottom