Wasalam Wana JF
Mimi nikijana mwenye umri wa miaka 27 katika harakati zangu zamaisha nimeshakua na mahusiano na wanawake tofauti tofauti na swala la kuchakata lilikua siolakuniumiza kichwa.
Mwanzoni mwa mwaka uliopita nilibadili makazi ya utafutaji na mwanamke niliekua nimemweka kwenye malengo...
Niliambiwa mahari laki tatu nikawaangaliaaa wale wazeee nikajiambia kimoyo moyo hiyo mahari yanini wakati Binti Yao kashabanduliwa vyakutosha 😂
Niliamua kuwakubalia nakuwaomba nikawataftiee hiyo elaa nilipo bahatika kutoka tuu njee sikurudi tena 😂😂😂 najua webint unasoma huu ujumbe ila siwez...
Hilo jina la juma katani uliliacha kwanini wakati ushabatizwa?? Kwann usingeitwa kwa jina la mumeo?? Acha usanii
Nakushauri uachane na chet Cha ndoa au kaombe kubadilisha cheti Cha ndoa sababu kitaibua wasiwasi mkubwa
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.