Recent content by Yukwapi

  1. Y

    Nipo Chuo, najijenga kiuchumi lakini mahusiano yananipiga Chenga, msaada!

    Siku utakayoweza kwenda kununua utamu kwa aftatuu ndio siku utakayoacha kuteswa na wanawake
  2. Y

    Wanawake wengi wananikataa, nifanyaje ?

    Wasalam Wana JF Mimi nikijana mwenye umri wa miaka 27 katika harakati zangu zamaisha nimeshakua na mahusiano na wanawake tofauti tofauti na swala la kuchakata lilikua siolakuniumiza kichwa. Mwanzoni mwa mwaka uliopita nilibadili makazi ya utafutaji na mwanamke niliekua nimemweka kwenye malengo...
  3. Y

    Nasumbuliwa sana na mke wa mtu alienidhamiria bila kuchoka, nawezaje kumfanya ajue haitawezekana bila kuvunja urafiki wetu?

    Hakupendi huyo ili uniamini we Mshtukizee umwambie mkapime afyaaa utakuja kunishukuru🙏🙏
  4. Y

    Wanaume mlioaoa wanawake ambao hamkuwakuta na bikira zao je mnawezaje kuishi nao bila hofu?

    Wanawake walivyotulia kwenye huu Uzi kama vile hauwahusuu😂😂
  5. Y

    Mwanaume, Tafuta mahari Umlipie Huyo Mwanamke, Hata Kama Hana Bikra

    Niliambiwa mahari laki tatu nikawaangaliaaa wale wazeee nikajiambia kimoyo moyo hiyo mahari yanini wakati Binti Yao kashabanduliwa vyakutosha 😂 Niliamua kuwakubalia nakuwaomba nikawataftiee hiyo elaa nilipo bahatika kutoka tuu njee sikurudi tena 😂😂😂 najua webint unasoma huu ujumbe ila siwez...
  6. Y

    Wanaume mlioaoa wanawake ambao hamkuwakuta na bikira zao je mnawezaje kuishi nao bila hofu?

    Yani mtuu anakuomba mchango wa harusi unaamua kumpa ela yakutosha alaf siku ya harusi unakuta anaoaa Dem uliekua unambaruza kwa vocha ya buku😂😂
  7. Y

    Wanaume mlioaoa wanawake ambao hamkuwakuta na bikira zao je mnawezaje kuishi nao bila hofu?

    Sitasahau Ile siku aliyoniadisia alivyo pelekewa moto mpaka akasikia kizunguzunguu 😂😂😂
  8. Y

    Hii ni moja ya sababu inayowafanya vijana wengi kununua dada poa badala ya kuanzisha mahusiano

    Kuna kamoja kamekula chips kuku yangu alaf kananiambia anampenzi wake 🤣🤣 Kwakweli inaumaa isitoshe niela ya kodi nlitumia ilaa fanyeni jumapili kuongeza maombii akijaa nikabahatika kumpa mimba maumivu yote namuhamishiaa🤣🤣
  9. Y

    Vyeti vya shule na ndoa vinatofautiana majina, naomba ushauri jinsi ya kuvipeleka kwa HR

    Hilo jina la juma katani uliliacha kwanini wakati ushabatizwa?? Kwann usingeitwa kwa jina la mumeo?? Acha usanii Nakushauri uachane na chet Cha ndoa au kaombe kubadilisha cheti Cha ndoa sababu kitaibua wasiwasi mkubwa
  10. Y

    Haya majengo katika ramani ya uwanja mpya wa Arusha yanaashiria nini?

    Nivibanda vya wamachinga watakaoenda kujazana baada ya afcon kuanza
Back
Top Bottom