Duhh asanteni ila nimegundua wazazi wanazalilika sana kwenye jamii na thamani Yao inashuka pale kijana wao anapoo oaa single maza nimejaribu kumuuliza baba wa rafiki yangu alieoa single maza kiukweli kwa majibu yake nikwamba alizarauliwa sana na jamii kwa kushinda kumuongoza mwanae kwenye swala...
Habari Wana JF
Mwanangu usiniletee single maza🙏
Hii nikauli iliyotoka kwenye kunywa Cha baba yangu nilipomueleza kua nataka kuoaa.
Ipo hivi nilipata kazi mwanza miaka miwili iliyopita na katika harakati za kazi nilikutana na bint aliezalishwa mtoto mmoja,tulikua marafiki na meishowe tuliingia...
Wasalam watanzania
Poleni kwa kusahau report ya CAG kutokana na kuwabize na kulinda nyeti zenu🙏
Kwanza Mimi sio mwandishi mzurii ila jitahidini kusoma hivyo kwani najilaumu kwa kukataa shule😭
###MFUMOO WA PROCUREMENT##
Huo mfumoo walioshauri uanzishwe walikua washasukuma kete either +ve or -ve...
Wenzenu wa vikundi wanapata 150 000 nawanateseka na miradi maporini wewe unapata laki6 unapiga kelele 😒😒
Minashauri ili kazi ziende kwa haraka na wananchii wapate huduma kwa wakati naona muwekwe kwenye vikundi hii itachachochea utendaji kazi 🙏🙏
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.