Recent content by Yukwapi

  1. Y

    JamiiForums Tanzania Wanawake tunapenda hivi...

    Mkachukue mlipoacha bikra zenu
  2. Y

    JamiiForums Tanzania 20m itanifikisha wapi katika ujenzi wakuu?

    Tandale
  3. Y

    JamiiForums Tanzania Ningejua mapema ningeoa

    28
  4. Y

    JamiiForums Tanzania Ningejua mapema ningeoa

    Habari Wana JF Kwa maisha ya sasahivi ya vijana wakiume na utandawazi uliopo yanaelekea hatarini Nakumbuka kipindi nakuaa nilipoanza form 3 katika kupigapiga story darasani ziliingia story za mahusiano ambazo zilianzishwa na kijana mmoja. Inshort katika story hizo mada iliyobadilisha maisha...
  5. Y

    JamiiForums Tanzania Kijana msomi aliyerudi kijijini afanye nini ili aheshimike?

    Agombee nafasi ya udiwani kupitia chama Cha mapinduzi
  6. Y

    JamiiForums Tanzania Baadhi ya maudhi madogomadogo yanayokera wakati wa tendo

    Unagongewa
  7. Y

    JamiiForums Tanzania Usije ukamwaga mpaka nikuambie

    Usije ukamwaga mpaka nikuambie 😭 Hii nikauli nliyokua naambiwa namkewangu mwaka 2025 lakini yote kwa yote tuliachana Kwa Sasa nibora nizae na mtuu kuliko kuoaa 🙏. Je ulishawahi ambiwa hii kauli
  8. Y

    JamiiForums Tanzania Mwanangu usiniletee single maza

    Duhh asanteni ila nimegundua wazazi wanazalilika sana kwenye jamii na thamani Yao inashuka pale kijana wao anapoo oaa single maza nimejaribu kumuuliza baba wa rafiki yangu alieoa single maza kiukweli kwa majibu yake nikwamba alizarauliwa sana na jamii kwa kushinda kumuongoza mwanae kwenye swala...
  9. Y

    JamiiForums Tanzania Mwanangu usiniletee single maza

    Kwani hiyo mada ya yeye kutaka niwe na uzao wakwanza kwa mwanamke anamaanisha Nini au kunamazara Gani uzao wakwanza kutoka kwa mtuu mwingine?
  10. Y

    JamiiForums Tanzania Mwanangu usiniletee single maza

    Asante
  11. Y

    JamiiForums Tanzania Mwanangu usiniletee single maza

    Habari Wana JF Mwanangu usiniletee single maza🙏 Hii nikauli iliyotoka kwenye kunywa Cha baba yangu nilipomueleza kua nataka kuoaa. Ipo hivi nilipata kazi mwanza miaka miwili iliyopita na katika harakati za kazi nilikutana na bint aliezalishwa mtoto mmoja,tulikua marafiki na meishowe tuliingia...
  12. Y

    JamiiForums Tanzania Usikurupuke kuingia kwenye ndoa...

    Kataa ndoaa niutapeli
  13. Y

    JamiiForums Tanzania Maalumu kumsaidia Rais (target upigaji kwenye procurement). Faida kwa Taifa

    Wasalam watanzania Poleni kwa kusahau report ya CAG kutokana na kuwabize na kulinda nyeti zenu🙏 Kwanza Mimi sio mwandishi mzurii ila jitahidini kusoma hivyo kwani najilaumu kwa kukataa shule😭 ###MFUMOO WA PROCUREMENT## Huo mfumoo walioshauri uanzishwe walikua washasukuma kete either +ve or -ve...
  14. Y

    JamiiForums Tanzania Una miaka zaidi ya 65, unajenga nyumba ya nini?

    Nguvu mpyaa za skuizii changamoto Yan kijana mbichi anachowaza nimshahara tuu swala la kusogeza taasisi mbelee haimuhusu😂
  15. Y

    JamiiForums Tanzania Nataka nikusanye kiasi cha million 25, nitumie mbinu gani?

    Ela yakula unataka kuisave ?? Upo serious kweli? Unaupendo wa dhati kwa familia Yako??
Back
Top Bottom