Mwanangu usiniletee single maza

Mwanangu usiniletee single maza

Mkuu wangu Mnyenz na leo unataka tugombane tena ?
Hapana wewe ni jamaa yangu ,tubishane kwa hoja sio matusi ila ikifika hatua ya kupimana nguvu ,PM yangu ipo wazi namba nitatoa ili tukutane walau ijulikane nani zaidi upande wa ngumi ila kwa matusi mimi mweupe kaka mkubwa .
Sijatukana mkuu, ila uliposema huyo dada hakupenda kuwa hivyo umesema kana kwamba unamjua kindaki ndaki.

BTW mie siwezi hata kurusha ngumi, mwili wangu ni wa mapenzi. Amani itawale.
 
Duhh asanteni ila nimegundua wazazi wanazalilika sana kwenye jamii na thamani Yao inashuka pale kijana wao anapoo oaa single maza nimejaribu kumuuliza baba wa rafiki yangu alieoa single maza kiukweli kwa majibu yake nikwamba alizarauliwa sana na jamii kwa kushinda kumuongoza mwanae kwenye swala la mwanamke wakuoaa na ushauri alionipa nikwamba nisijaribu kuoaa single maza kwani niaibu kwa jamii pamoja na ukoo mzimaa na ushauri wa mwisho aliniambia kama unataka kuwa na familia Bora imara na uheshimike kwenye ndoa oaa mwanamke ambae bado hajajua wanaume kwani mwanamke anapokua anajua Kila mwanaume hata ukimkoseaa anakulinganisha na walee aliokuanao mwanzo na maranyingi anaamini bado ananafasi yakuendelea kupata wengine ata mkiachana ndiomaana single maza wengi au wanawake waliotembea na wanaume wengi huoga hawatambui thamani ya mwanaume 🙏
 
Mzee anakitu naye asikilizwe, wewe pima uamue na maisha ni yako... Mahusiano yakishaanza kutiwa mdomo mbaya na wazee inaleta negative vibes na sintofahamu kabisaa...Imagine mkeo anakwenda ukweni Baba na Mama zako rohoni wanakitu kinawakaba.
 
Siku moja nilikuwa naangalia TV na bimkubwa maigizo maigizo pale.Aliniambia na wewe siku moja uje uniambiee eti mwanamke kama huyo ndio unataka kuoa.Namshukuru Nimeoa mwanamke ambaye ndugu na Jamaa wamekubali.
Ko umewaolea ndugu na jamaa, ila sio wee binafsi km muhitaji wa mke?
 
Naona hii nchi kwa sasa tatizo letu ni Single Mothers tu.

Umaskini, Maradhi na Ujinga vinatutesa sana.

Hata mtu ambaye hajua atakula nini kesho naye pia anaona tatizo ni single mothers.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom