Mmesahau hela tayari ilikujaga na wale ndugu zenu wavaa vilemba na nguo nyeupe. Na walishapewa kipande cha maji pale mitaa ya mzizima wakishugulikie milele haitoshi wamepewa misitu huko maeneo watunze wanyama shida iko wapi kwani
Hapana mkui inaweza ikawa na single piston na inaenda 4 stroke kwa maana ya mizunguko miine . 1. Kuingiza hewa na mafuta {intake)
2. Compession kuya bana ule mchanganyiko wa hewa na mafu
3. Power sroke hapa yakishwa banwa heat na energy inaongezeka sparkplaga inatoa cheche mlipuko unagokea na...
Mliyowahi kuagiza bidhaa mitandaoni naombeni uzoefu ili nifikiwe na mzigo wangu kwa urahisi na uaminifu nifanyeje?
Na vitu gani nahitaji kuwa navyo ili niagize laptop
Na je nikiagiza laptop iliyopo kwenye picha pale kwenye tangazo itakuja yenye specification exactly hizo hizo au kuja...
60% ya Quran imetoka kwenye biblia na kuna maeneo ukisoma kwenye qurani inakuambia ukasome biblia sasa unapoleta story za kufikirika uje na hoja. Kwanza dini zimekuja kututenganisha hapa duniani
Mwiko unapozunguka ndani ya chungu kuna kelele huwa zinatoka mkuu. Ila sasa kelele zinanoga kama chungu kikiwa chepesi ila lichungu likiwa lizito limejilalia tu alafu linakupigia kelele piga makofi hiyo ng'ombe isikupigie kelele.
Hebu na ww acha ubishi mkuu huo ndo ukweli kwani hujaoma kijana mdogo alivyomtoa jasho professor wa sheria na dogo ni degree holder. Ukiambiwa kitu usibishe wafanyakazi wengi wa serikali wenye nyadhifa kubwa kubwa wana midomo tu lakin ukija kwenye suala la kutoa mawazo au fikra za maana hakuna...
We jamaa nimekwambia acha kutupatia story za wazungu zilizotungwa zikawekwe shuleni za kiafrika kuwazuga fuatilia historia ya africa ya ukweli utajua vizuri mambo yakoje
Hivi ww duniani hapa nchi zote zilizoendelea hazitumii mfumo wa democrasia hata hiyo marekani unayoiona kwa jicho la kwaida...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.