m2mixh
JF-Expert Member
- Jan 3, 2017
- 661
- 423
Huu ni uongo.Quran imedanganya.Kusema dini ya Musa ndiyo dini ya Muhammad huo ni Uongo ambao hata ninyi wenyewe unawapa tabu.Musa kapewa torati.Na alikuwa mfoasi wa torati.Alifuata yote yaliyo kwenye torati ambayo yanapingana kabisa na uislamu huu mlionaoHuyo aliyekufafanulia hilo andiko akakudanganya kuwa hilo andiko ndio linathibitisha kuwa Mtume Muhammad ndio Muislam wa kwanza hapa Duniani
Mpe na andiko hili akufafanulie
Quran 42:13 -
Amekuamrisheni Dini ile ile aliyo muusia Nuhu na tuliyo kufunulia wewe, na tuliyo wausia Ibrahim na Musa na Isa, kwamba shikeni Dini wala msifarikiane kwayo.
1-Alikuwa mtunza sabato(jumamosi)
2-Hakuwahi kula ngamia au najisi yoyote iwe kwa dhiki au Hamu
3-Alisheherekea idi ya vibanda ambayo uislamu hauijui
4-Aliabudu kwenye hekalu sio misikiti
5-Alimuabudu YAHWEH AU YEHOVA sio Allah.n.k.
Sasa hayo yako mbali kabisa na uislamu.Ila manabii wote waliyafuata hayo yote.Na ndiyo yanayofuatwa na wayahudi walio wengi leo.Sasa vipi aje mtu adai ni nabii wa MUNGU wa Musa halafu ayapinge ya Musa!