Habari zenu wadau, Naomba anayefahamu gharama za kulipia ushuru wa perfume bandarini Coz nataka kufanya biashara ya kuingiza perfume kutoka nje na kuuza nchini.Kama unafahamu please ni PM au tuwasiliane Email yangu ni [email]husseinmushi8@gmail.com Simu+255 768 594 367Ahsanteni sanaaaaaaaa.
Hii mbona noma sasa kama ni hivyo c wanaweza wakaamua kuinunua Tanzania,Kenya na Uganda
duuuh Hatariiiiiiii...................
But mbona cjaona mahali kwamba WAMEJENGA MSKITI AU KANISA AU NDO WALEWALE WA <G>
Wadau ni nani alishawahi kufanya biashara na hii site ya Kivuko.com
Kuna mziggo nataka kuagiza kwao ila nina wasiwasi isije ikawa ni matapeli nikalizwa kama kuna mtu humu ndani alishawahi kufanya nao biashara please niambie
Habari zenu
Ninauza gari aina ya JEEP GRAND CHEROKEE
6 cylinder Full leather seat 3900cc automatic diesel engine good fuel consumption
BEI NI TSH 20,000,000
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.