shabani hassani
JF-Expert Member
- Jul 12, 2013
- 248
- 34
Kwa lugha nyingine wanawake msiolewe na wanaume walolelewa na mzazi mmoja....
Usiolewe na mwanaume ambaye baba yake kazaa na wanawake tofautitofauti hata kama yupo ndoani
Mchunguze hao wanaume kama wao na kaka zao wale wazinzi walevi au wachawi
Chunguza ana madada wangapi na kama hawajaolewa usikubali kuolewa huko
Usiolewa na mwanaume ambao kwao masikini
Usiolewd na mwanaume ambae kwao wanamtegemea utaisoma namba
kwa staili hii itakua shughuli
mhm ! Ww mbona kama humenitachi mie