SERIKALI imesema kuwa, Wizara ya Maliasili na Utalii na Mamlaka ya Usimamizi wa Wanyamapori Tanzania (TAWA) itafanya mnada wa hadhara wa meno ya viboko vipande 12,467 vyenye uzito wa kilo 3,580.29.
Imesema mnada huo utakaosimamiwa na Wizara ya Fedha na Mipango umepangwa kufanyika Januari 29...
Upo sahihi kiongozi hata mimi suala hili linanipa utata sana nashindwa kuelewa mshindi akitangazwa anaona kama hali ya kawaida tu et anasema asante hata kushangilia hamna huu si wizi wa kimawazo na fedha kwel?
Nimekuwa nikisikia clouds fm wakitangaza mchezo mpya wa kamali wanauita tatu mzuka, wao wanagenerate namba tatu ktk system yao na wewe mchezaji inabidi uchague namba 3 kutoka katika namba 10 mfano kama namba ya bahati ni 121 basi ili ushinde inakubidi kutoka katika namba 0 mpaka 9 uchague namba...
duuuuuu kwa hili basi asilimia nyingi ya wadau tunafanya work done zero hii ni kutokana na kukosa maandalizi mazr kabla ya tendo husika ikiwemo kisiokologia ww na mwenzako ambo mnafanya tendo hilo pia inawezekana zipo sehem muhimu ambazo unapaswa kuzigusa na hafanikiwi kuzigusa hii ni kutokana...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.