Kulikoni wake za watu wanakuwa maji mara moja?

Kulikoni wake za watu wanakuwa maji mara moja?

Dah ngoja nitajaribu kumtongoza mke wa mtu nithibitishe
 
Wengi wanawake walokuwepo kwenye ndoa wamepoteza faraja na mapenzi katika nafsi zao,na wanatafuta sehemu pakuzipata ..
wanaume wengi huwa hawangalii wake zao kwa jicho la huruma na mahaba kama mwanzo,Na wamekuwa hawawachukulii tena kwa mapenzi kama mwanzo,

Wengi ya wanaume wanasahau kuwa wanajukumu kubwa zaidi ya kumlisha na kumvisha mwanamke ,wanaona mwanamke akisha kula akashiba akavaa basi .
 
Hivi bado kunamke wa MTU sikuizi labda umgesema ndoa siyo Mke sikuizi kuna ndoa tu siyo mke au mume
 
Kwakuwa waume zao hawajui wajibu wao.
 
Tz ina idadi ya wanawake mls.34 sasa wew utafit wako umeufanya kwa wanawake 10

Hainingii akilini hata kidigo
Siku wenye Mali zao watakpo kukamata utaleta majibu yaliyonyooka
Wakati huo marinda walisha ondoa
 
Hawawakomoi waume zao, bali wanajipa raha wenyewe.
 
Nafsi ni zile zile, kasoro maumbile ya kibaiolojia tu, kwamba huyu ni "me", huyu ni "ke", lakini udhaifu wa tamaa ni ule ule.
Mwanzoni wanamke unamtamani, ni mzuri kwa sura na ana mvuto kwenye macho yako, unamchumbia na kumuoa, hatimaye mnapata watoto nk nk.
Mnazoeana na hatimaye kumuona wa kawaida sana, miaka inasonga.
Baadae ule mvuto unatokomea na kumuona kama dada'ko mtoto wa baba yako.
Wakati huo wenzio wanamuona mrembo na anavutia. Na kwa wanawake ni hivyohivyo jinsi wanavyowaona waume zao baada ya kuishi miaka nenda rudi, mivuto husinyaa.
Kwa hiyo mautundu na mambo mengine ya awali mliyoanza nayo hutokomea menyewe. Hapo kupepesa macho kwingine ni jambo lisilozuilika, ni maisha, ni ubinadamu.
Kati ya mitihani mizito tulopewa wanadamu basi ni huu. Kuishi na the same person miaka nenda miaka rudi duuuuh!!!
 
Wanakua wamechokwa na waume zao, na hao wanaume zao wanakua busy na mademu wengine wadogo na watamu, kwa hivyo wewe unacheza na rejects, ila ukifumaniwa unajua utakacho fanywa, hivyo nakushauri uwe unatembea na vilainishi.
 
N kwel kabisa na hli husababishwa na migogoro ndan ya nyumba hasa akina baba kuwa na nyumba ndogo huwatoa iman kabisa wake zao
 
Inawezekana,kumekuwa kuna kama katabia wanaambukizana,'mbona miye nafanya na maisha yanasonga'sio kama wana njaa au migogoro ni hulka imeibuka.Mfano jana nilikaa mahali nakula chakula mwanamke ambaye inaonekana ana pete ya ndoa aliingia na mwanaume ila sijui kama ni mume wake,walivyokaa walikuwa mwanaume mgongo ulielekea kwangu na mwanamke akawa anaangalia upande wangu,yule mwanamke kapanua miguu mpaka chupi inaonekana,maana kavaa nguo iko juu kabisa ya mapaja,na inaonyesha alijua kuwa nilikuwa namuangalia ikawa kila baada ya muda anaangalia kuona reaction yangu,so you ca see how it is..!!
 
wanaume wao hawana nguvu za kiume tena kama mwanzo wa ndoa,lakini mwanaume mwenye akili TIMAMU kabisa hawezi kudiriki hata kumtongoza mke wa mtu mwingine;
 
Back
Top Bottom