Mbunge wa Jimbo la Siha, Godwin Aloyce Mollel(CHADEMA) ajivua wadhifa huo na kuhamia CCM

Duh...
Huku vijana tusio na elim tunaambiwa tujiajili.
Kama ma PhD holder wote wanapigania siasani kwa manufaa ya matumbo yao bora Mh JPM afute kabisa hii siasa ndani ya nchi yetu.
 
U
Chadema wafanyie marekebisho sera zao na Mwenendo wao haiwezekani kila Mbunge awe amenunuliwa
Unaweza ku-specify sera gani wazibadilishe, au mwenendo gani? Ukweli wa wimbi hili si kwamba kuna tatizo la sera CHADEMA. Zera ni zile zile zilizomfanya huyu Mollel akachaguliwa kuwa mbunge na wala mwenendo wa chama haujabadilika.
 
Hawa wanaogopa kibano huko upinzani sasa waneona wajisalimishe mapema ,
Vizur sana wameona mbali mwisho WA siku kila MTU anapigania tumbo lake!!;
 
aliyokuw akiyapigania yanafanywa na ccm kwa hiyo yeye ni kada wa zamani anarudi nyumbani mwake
 
shirikisha ubongo wako mkuu,jiulize wanaohama ni viongozi tu muhimu mbona sisi wanachama hatuhami hao wote pesa imewapenda zaidi ,na cdm hakuna kubadili mwenyekiti mpaka tuone mwsho wa huu uhuni wa ccm
Nyinyi ndio hamtaki kushirikisha ubongo wenu, na matokeo yake Mbowe amewageuza mmekuwa makarai halisi.

Inaonekana hufuatilii habari za nchi hii kwa undani, ndio maana hufahamu kuwa na wanachama wengi wamekuwa wakihama kutoka chama kimoja kwenda kingine.
 
Nyinyi ndio hamtaki kushirikisha ubongo wenu, na matokeo yake Mbowe amewageuza mmekuwa makarai halisi.

Inaonekana hufuatilii habari za nchi hii kwa undani, ndio maana hufahamu kuwa na wanachama wengi wamekuwa wakihama kutoka chama kimoja kwenda kingine.


Chukueni makarai MAFUNDI watabaki!
 
Wananchi mnaona kodi zenu zinavyochezewa?.Aingii akilini msomi kama huyu anashindwa kutambua kwamba akijiuzulu kodi za wananchi zitatumika kuandaa uchaguzi mwingine,kodi ambayo ingeweza kutumimika kuboresha huduma ama za afya,elimu au miundombinu.Kama wanataka kurudi CCM siwasubiri ukomo wao ufike mwisho ndio aamie huko kabisa.
 
Back
Top Bottom