Kawaida tukiridhishwa haijalishi nimekutangulia au la wakati wa wewe kumaliza utapokewa kwa mbwembwe na kupepewa juu japo na maigizo unaweza fanyiwa,Siyo kweli banaaaaaa.. Ukute ulijituma na mdada alimaliza kabla yako sasa wewe unapomalizia anakuwa yuko hoiiii hawezi hata kukupa hilo kumbatio la nguvu. Pia inategemea mko ktk pozi lipi kama mbuzi kagoma atakukumbatiaje?
HAHAHAHAHAHAHAHAHAHA! Nimecheka kwa herufi kubwa....hivi kama mmefanya style ya mbuzi kagoma kwenda baada ya kufika mshindo anakukumbatiaje?mana kumbatizi huwaga linatokea maranyingi kama mmemaliza style ya kifo cha mende.
Lipia TangazoKuna ex wangu nilimpa mambo mpaka baada ya mchezo nashangaa anafungua pochi ananipa 20,000/- kumuuliza ya Nini? Anasema amejisikia tu kunipa
Hahahaaaa na je mwanamke akiwahi yy mwanaume nae anatakiwa kumkumbatia mke?swal lingine n kwamba,je ukiwa umetoa wazung afu unataka kuchomoa anakuzuia usichomoe hapo nae hujamridhisha?hivi unaweza umia kweli eeeeeh, kweli watu tumetofautiana
teh teh
Hapa kuna point nzuri japo haiko wazi, ni kwmb kumbatio hutokea wkt ww umemaliza ila yy akiwahi hawezi kukukumbatia hadi ww umalize...... sasa utajuaje na yy alimaliza ikiwa aliwahi ht dk15 kabla ndpo nawe ukashusha mzigo!? Kw hyo pengne kumbatio linakuja pale mnapokuwa wote mnashusha mzigo kwa pamoja!Kwamba jamaa akiwa anafunga yeye, wewe lazima uwe kwenye move hiyo hiyo ya kufunga au sijaelewa?
Hawezi kukufungisha ukamng'ang'ania kabla yeye hajafunga? Kuna wanawake wengi tu wanatangulia kisha sisi tunafuata, labda kama utanikaba wakati tunapiga goli kwa pamoja!
km muhitimu wa YudomHaaa haaaaa hawajawahi kuridhishiwa toka dahali ya dunia we piga mshindo tembea ukitaka kila kitu utaishia kufa bure.
Inamaana kwamba bado anahitaji ushirikiano wako maana kuna maruhani hayajashuka kwakeHahahaaaa na je mwanamke akiwahi yy mwanaume nae anatakiwa kumkumbatia mke?swal lingine n kwamba,je ukiwa umetoa wazung afu unataka kuchomoa anakuzuia usichomoe hapo nae hujamridhisha?
MangiHaaa haaaaa hawajawahi kuridhishiwa toka dahali ya dunia we piga mshindo tembea ukitaka kila kitu utaishia kufa bure.
Raha xanaa....anakuwa km kuku anakata roho , halafu unacheka tu, sio mtt anapga bao ww umekunja sura km unataka kumtoa roho!Kumkojoza mwanamke kunaraha sana hata km wewe hujakojoa ila ile hali tu ya kumuona anahangaika ni nzr mno... jamani eeeh tuwakojozeni hawa watuuuu...
Note: Wale mnaonunua wanawake msisome hii comment