Ni nani kasainiana naye leo na kesho akamgeuka? toa mfano hata mmoja.Mkuu,issue sio amerahisisha mazingira anayo mengi ya kufanya ili kumvutia mwekezaji ikiwa ni pamoja na kupima matamko yake leo unasainiana nae kesho anakugeuka mwambie vitisho havifai wala haviwezi kumvuta mtu.
Anachofanya Rais JPM ni kupitia mikataba ya kishenzi waliyosainiana wapiga dili huko nyuma na kuiweka sawa ili Nchi nayo inufaike.-Nyie hilo ndo mnaita RAIS kawa kigeugeu? Mlitaka tuendelee tu kuliwa maadam kuna mijizi huko nyuma ilisaini?