Eee mungu mjalie Raisi wetu awr na afya njema na aendelee na kazi yake ya kutumbua majipu ili inchi yetu ifike pazuri nakuomba mh magufuli utembelee wizara nyingine zipo nyingi sana na kuna madudu zaidi ya hayo
Siku zote katika medani ya kivita au muundo wa kivita wapiganaji ni askari na sio maofisa sasa we unataka wawe wapole ili iweje uwashike matoko au lazma wawe wakorofi ili kuweza kuhimili mapambano hata katika vita
Ndugu bado sana hujakuwa kiakili ni askari gani wa tanganyika wamekuja huko mm navyofahamu askari wa tanganyika ambao wanzanzibari hawapo ni magereza pekee je niambie magereza huko wapo na kama polisi basi ni mchanganyiko ya wazanzibar na watanganyika vile vile jeshi ni wazanzibar na...
Mwinyi kazimoto hana tabia hiyo kwanza ananidhamu sana ya kazi yake kama alivyokuwa jeshini bado kuna namna tu hapo na huyo mwandishi na akikuzingua tena mwinyi tumia ukamanda wako kuonyesha ww ni kamanda na huna makuu tu
Unaushahidi gan kwamba watanganyika wameingilia maamuz ya wazanzibar katika uchaguz kwan akiyefuta uchaguz ni mtanganyika ni nyie kwa nyie ttzo nyie mna kitu upemba na uunguja ndo vinavyowatesa mkiondoa hvyo basi mtaishi kwa amani kabisa
Haka kawilaya cha zanzibr cc wabongo bora tungewaachia wenyewe wapigane sababu hatuna faida nacho hakana msaada wowote na sisi wabongo land zaid ya kututia hasara tu kwanza ningependa serikali iseme kila mtu arudi kwao mpemba kwao mtanganyika kwao na hakuna kuchukua kitu ondoka kama ulivyo kama...
Wazanzibar wanafiki swala la uchaguz JPM anahusika swala la mafuta lakwao basi na uchaguz lakwao vile vile wamalizane wenyewe kwanza wakileta za kuleta umeme tutawakatia watumie wakwao kila mtu si nachake
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.