MsemajiUkweli
JF-Expert Member
- Jul 5, 2012
- 13,185
- 24,055
Nimekuambia kabla hujaanza kushauri wengine, jaribu kwanza kuzishauri fikra zako!Usijibaraguze hapa, ushauri huu umepewa na wengi tuu kwenye Uzi wako wa Mwenyekiti PAC. Unadhani wale wote wanakuchukia wakati hawakujui? Kupost hoja sio ujanja kama ni hoja ya kipuuzi.
Ndio maana nimekuuliza umesoma NGUMBARU?
Kama mimi nimesoma ngumbaru, wewe utakuwa umesoma wapi?