Niliwahi kupeleka redbull na vikoi kitambo, ila line za malawi zinabadilika sana inaenda na msimu kama kipindi hiki nina mwana anatoa soya malawi, na mabelo ya mitumba inamlipa! Wengine wanavusha vipombe ila issue wakikuotea unakata mtaji lazima usome magap kwanza.
Kuna kitu mnakoseaga, biashara be front it was too early for u to trust someone hizo siku 3 ungetafuta lodge ya bei rahisi ukapembejea hela yako! Uaminifu hakuna sikuhizi trade with caution!
As am typing here nimepata kazi Saudia Miaka 2 mkataba, visa, ticket, accommodation,food,health kwao nikawa nasubiri tuu lockdown ziishe waruhusu ndege niondoke! Ila nafsi yangu haikuwa na furaha saana nimakazana kuendelea kutuma cvs kwingine but at hand nina iyo offer.
Maisha yanaenda kinyumenyume siku hizi! Wenzio wanafichaja upumbavu wao na kuonyesha busara zao! Huyo dada yupo kwaajili ya watu kama nyie! She is not alone on that!
Huu mwaka ni wa aina yake! Nimeshuhudia wajumbe wakigeuka kuwa ngazi muhimu kwa wanasiasa! Wakati miaka yote walikuwepo na hawakuwahi kuwa kama namna hii!
I look at Zambia, Malawi waliweza upinzani kuchukua nchi historia ikabadilika! Kwa Tanzania yetu shida ni unafiki watu hawana misimamo thabiti! Imagine habari za wapinzani hazipewi coverage ya kutosha wakifanya mema! Mabaya ndio yanatangazwa kwa nguvu! It takes alot yaan the journey is not eas s...
Nilijaribu kuwa mzalendo na TTCL! Ila kuna ufala mmeuanzisha sijui mshauri wenu nani!
Bando la 5000 week data hii! Unapata 8Gb . .3 asubuhi (saa 12 asubuhi -2usiku) then la usiku lilikuwa linaanza saa 2 usiku hadi 12 asubuhi.
Sasa hivi bando la usiku mmeweka linaanza saa 6 usiku! Are u people...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.