Mtandao upi una vifurushi nafuu Tanzania

Mtandao upi una vifurushi nafuu Tanzania

Entreprenuare

JF-Expert Member
Joined
Aug 24, 2019
Posts
1,616
Reaction score
1,737
Wakuu mnatumia line gani zenye ma bundle nafuu?

Mimi natumia TTCL ila sasa, wamefanya utopolo wa kiwango chake, yani 3500 GB 2.5 kwa week. Wakati ilikuwa natumia 2500 GB 3 kwa week, yani sasa hiv natumia sana pesa kwa ajili ya bundle. Nyie mnatumia mtandao gani atleast nipate hizo gb 3 kwa bei isiyo zidi 2500.

TTCL bye bye.
 
Hii mitandao haiaminiki leo wanaweza kuwa na vifurushi bomba kesho wakabadilika.

Binafsi natumia airtel jaribu *149*99# uone vifurushi vyao.
 
Ngugu mteja,
Mabadiliko hufanyika ili kuendana na mabadiliko ya kibiashara,tafadhali piga *148*30# ili kujiunga na vifurushi vilivyopo kwa sasa.

Sawa, ila feedbacks zipoje kwa wateja wenu? Baada ya mabadiliko.

Hapa ndio tunataka tuone uwezo wenu wa Creativity and Innovation

Ku ensure customer 's satisfaction ipo, na bado mna market retention.
 
Nilijaribu kuwa mzalendo na TTCL! Ila kuna ufala mmeuanzisha sijui mshauri wenu nani!

Bando la 5000 week data hii! Unapata 8Gb . .3 asubuhi (saa 12 asubuhi -2usiku) then la usiku lilikuwa linaanza saa 2 usiku hadi 12 asubuhi.

Sasa hivi bando la usiku mmeweka linaanza saa 6 usiku! Are u people serious kwelii? Mnapaswa kujua sio watumiaji wote wanafunzi, wengine tunapaswa kulala mapema asubuhi job!

Okay fine mmeweka kuanzia saa 6 basi rekebishen kidogo ktk ile 8 Gb ziwe 4 asubuhi, 4 usiku! Mmezingua! Mi nisharudi voda mkirekebisha tutarejea ila mnapaswa kuwa na strategies za kutukeep na kucreate uses wengine wapya msiige wenzenu wakongwe tayari!
 
Nilijaribu kuwa mzalendo na TTCL! Ila kuna ufala mmeuanzisha sijui mshauri wenu nani!

Bando la 5000 week data hii! Unapata 8Gb . .3 asubuhi (saa 12 asubuhi -2usiku) then la usiku lilikuwa linaanza saa 2 usiku hadi 12 asubuhi.

Sasa hivi bando la usiku mmeweka linaanza saa 6 usiku! Are u people serious kwelii? Mnapaswa kujua sio watumiaji wote wanafunzi, wengine tunapaswa kulala mapema asubuhi job!

Okay fine mmeweka kuanzia saa 6 basi rekebishen kidogo ktk ile 8 Gb ziwe 4 asubuhi, 4 usiku! Mmezingua! Mi nisharudi voda mkirekebisha tutarejea ila mnapaswa kuwa na strategies za kutukeep na kucreate uses wengine wapya msiige wenzenu wakongwe tayari!

Mabadiliko hufanyika ili kuendana na mabadiliko ya kibiashara,tafadhali piga *148*30# ili kujiunga na vifurushi vilivyopo kwa sasa.
 
Nilijaribu kuwa mzalendo na TTCL! Ila kuna ufala mmeuanzisha sijui mshauri wenu nani!
Bando la 5000 week data hii! Unapata 8Gb . .3 asubuhi (saa 12 asubuhi -2usiku) then la usiku lilikuwa linaanza saa 2 usiku hadi 12 asubuhi.
Sasa hivi bando la usiku mmeweka linaanza saa 6 usiku! Are u people serious kwelii? Mnapaswa kujua sio watumiaji wote wanafunzi, wengine tunapaswa kulala mapema asubuhi job! Okay fine mmeweka kuanzia saa 6 basi rekebishen kidogo ktk ile 8 Gb ziwe 4 asubuhi, 4 usiku! Mmezingua! Mi nisharudi voda mkirekebisha tutarejea ila mnapaswa kuwa na strategies za kutukeep na kucreate uses wengine wapya msiige wenzenu wakongwe tayari!

Wanazingua sana, nahisi kwenye department yao ya Masoko hakuna watu wabunifu na innovators..
 
Back
Top Bottom