Kuna mtu anataka kunitapeli naomba msaada

Kuna mtu anataka kunitapeli naomba msaada

Ulikuwa unajaribu kuongea nini hasa?! Btw, hivi unaelewa watu wanaposema "Mali Kauli"?
Kwa mtu tapeli mali kauli doesent work, kama huyu kijana katapeliwa.
Mali kauli ni kwa mtu muadilifu, mtu mwenye reputation, mtu ambaye neno lake tu ni pesa!
Kibaka mtaani uongee mali kauli, utakuwa una matatizo tu.
 
Watch it closely that is another deal....and risks are unpredictable so how can u watch it
I know that, that's so why insurance firms exist ...it's all about calculated risk...repeat after me "watch it closely"
 
Kwa mtu tapeli mali kauli doesent work, kama huyu kijana katapeliwa.
Mali kauli ni kwa mtu muadilifu, mtu mwenye reputation, mtu ambaye neno lake tu ni pesa!
Kibaka mtaani uongee mali kauli, utakuwa una matatizo tu.
Hoja ni kwamba, mfumo wa mali kauli unatumika sana kwenye masoko yetu; sasa kinachofuata hapo ni uaminifu wa yule aliyeachiwa mali kwa mali kauli!!

Na hili tatizo linachangiwa na mambo makuu mawili:-

1. Madalali hawapo regulated,

2. Majority kama sio wote wanategemea kumlipa mwenye mzigo baada ya mzigo kuuzwa kwa sababu hawana mitaji! Wengi wanachoweza kufanya in advance ni ku-clear madeni ya Seller... kwa mfano, kama unadaiwa na transporter, dalali atakachofanya ni ku-clear deni la transporter, kisha mnamalizana juu kwa juu!

Kutokana na hilo, wakati mwingine unakuta dalali wala sio nia yake kukutapeli bali unakuta umemuachia mzigo na bishara imegoma kutegemea na hali ya soko!!!

Kitakachofuata hapo, ni full calendar... au kama alivyojibiwa dogo kwamba "kama vipi, njoo uchukue mzigo wako"!!

Wakati mwingine, na ni kawaida sana kukuta kweli dalali bado mzigo anao!!!
 
Hoja ni kwamba, mfumo wa mali kauli unatumika sana kwenye masoko yetu; sasa kinachofuata hapo ni uaminifu wa yule aliyeachiwa mali kwa mali kauli!!

Na hili tatizo linachangiwa na mambo makuu mawili:-

1. Madalali hawapo regulated,

2. Majority kama sio wote wanategemea kumlipa mwenye mzigo baada ya mzigo kuuzwa kwa sababu hawana mitaji! Wengi wanachoweza kufanya in advance ni ku-clear madeni ya Seller... kwa mfano, kama unadaiwa na transporter, dalali atakachofanya ni ku-clear deni la transporter, kisha mnamalizana juu kwa juu!

Kutokana na hilo, wakati mwingine unakuta dalali wala sio nia yake kukutapeli bali unakuta umemuachia mzigo na bishara imegoma kutegemea na hali ya soko!!!

Kitakachofuata hapo, ni full calendar... au kama alivyojibiwa dogo kwamba "kama vipi, njoo uchukue mzigo wako"!!

Wakati mwingine, na ni kawaida sana kukuta kweli dalali bado mzigo anao!!!
Kwa kiingereza inaitwa Gentlemans Agreement.
Ukichukua dhamana, unayabeba na matatizo yake na kuyatatua.
Huwezi chukua dhamana halafu matatizo unamuachia aliyekuamini, hapo unakuwa tapeli.
Tukipatana huu mzigo ni milioni tisa, basi pengine nikiachie kile kidogo cha kazi yako , vinginevyo jina lako likisha chafuka redio mbao zipo nyingi tu.
Utabeba jina la zulumat na heri kuhama soko.
 
Kwa kiingereza inaitwa Gentlemans Agreement.
Ukichukua dhamana, unayabeba na matatizo yake na kuyatatua.
Huwezi chukua dhamana halafu matatizo unamuachia aliyekuamini, hapo unakuwa tapeli.
Tukipatana huu mzigo ni milioni tisa, basi pengine nikiachie kile kidogo cha kazi yako , vinginevyo jina lako likisha chafuka redio mbao zipo nyingi tu.
Utabeba jina la zulumat na heri kuhama soko.
Umeshawahi kufanya biashara sokoni?! Nakuuliza hilo swali kwa sababu naona unataka kuleta mambo ya kishule shule wakati hapa watu wanazungumzia how things work in a real world!!

Again, umeshawahi kufanya hizo biashara?!
 
Umeshawahi kufanya biashara sokoni?! Nakuuliza hilo swali kwa sababu naona unataka kuleta mambo ya kishule shule wakati hapa watu wanazungumzia how things work in a real world!!

Again, umeshawahi kufanya hizo biashara?!
Mimi ni mfanya biashara mkuu, kubwa kubwa na ndagondogo.
Nimekutana na madalali kibao!
Mtu ambaye hana dhamira ya kuweka nadhiri tamko lake utamjua kwa maneno yake.
 
Mimi ni mfanya biashara mkuu, kubwa kubwa na ndagondogo.
Nimekutana na madalali kibao!
Mtu ambaye hana dhamira ya kuweka nadhiri tamko lake utamjua kwa maneno yake.
Nimeuliza biashara za sokoni kwa sababu changamoto za biashara za sokoni ni tofauti na biashara za aina nyingine!

Tofauti kubwa ya biashara za sokoni na za aina nyingine ni nature ya bidhaa nyingi kuwa seasonal na perishable, na matokeo yake ni kawaida sana kukuta umeshusha nazi lori moja lakini kabla hazijauzwa, unakuta malori mengine 10 yanaingia from nowhere!!!

Sasa hapo unajikuta unapambana na flooded market as well as perishability risk!!!
 
Kuna watu wakaribu yangu wanamfahamu pia hata mama alifanyanaye biashara miaka ya nyuma ila alimsumbua sana hivyo na mimi niliunganishwa na mtu mwingine ila mama ha kujua kama nimeuzia huyo mtu
Basi wewe huna akili ,unajua alishafanya biashara na mama yako na akamsumbua,bado na ww unarudia tena kufanya nae niashara,upo serious kweli ?

JESUS IS LORD
 
I know that, that's so why insurance firms exist ...it's all about calculated risk...repeat after me "watch it closely"
Insurance firm is not for calculating your risks...but is there for making a money
 
Basi wewe huna akili ,unajua alishafanya biashara na mama yako na akamsumbua,bado na ww unarudia tena kufanya nae niashara,upo serious kweli ?

JESUS IS LORD
Wewe mwenye akili umetengeneza nini hapa duniani? Usikute hata kula yako ni shida !!!!
 
Huko chuoni dogo unasome ujinga gani kwanza umenunua samaki pcs 2000 umeshindwa kuzitunza vizuri umefikisha pcs 1300tu na bado hizo samaki umekwenda kumkabidhi tapeli

Ningekuwa Mimi ndio baba yako ungenirudishia pesa za karo sio kwa utopolo wa kiwango hicho

Nizituze na beba kichwani mzigo kama huo? Kwahiyo chuo nilikuambia nimesomea course ya kutuza mzigo? Sio lazima ucomment kila post
 
Kwenye huu Uzi Ndo unapoweza kuona utofauti wa Mzungu na Mswahili!

Mtu anaomba Ushauri juu ya jambo lake, Toa Basi Ushauri kwanza then ndo uanze Blah blah, matokeo yake unaishia Kuandika Blah blah zisizo na Maana!!

Mimi Ushauri wangu Mkuu anza kukusanya Ushahidi wa Messages, kama Bado Anza ku record Calling, Ili siku ukiona Uvumilivu umekushinda nenda kamshtaki na Ushahidi ukiwa nao.

Usikubari kwenda kuchukua Samaki hao coz hayakua Makubaliano yenu!
 
Pole sana mkuu.

Endelea kufatilia mali yako.

Umakini ulikuwa mkubwa sana kwenye utunzaji wa pesa, pass ndefu zimehusika sana leo mtu anakuja kukuibia kirahisi hivi.
 
Kwenye huu Uzi Ndo unapoweza kuona utofauti wa Mzungu na Mswahili!

Mtu anaomba Ushauri juu ya jambo lake, Toa Basi Ushauri kwanza then ndo uanze Blah blah, matokeo yake unaishia Kuandika Blah blah zisizo na Maana!!

Mimi Ushauri wangu Mkuu anza kukusanya Ushahidi wa Messages, kama Bado Anza ku record Calling, Ili siku ukiona Uvumilivu umekushinda nenda kamshtaki na Ushahidi ukiwa nao.

Usikubari kwenda kuchukua Samaki hao coz hayakua Makubaliano yenu!
Mkuu nikuwapuuza tu,wengi wakujibu jeuli ni wanao hitaji misaada daily kutoka kwa ndugu zao
 
Kwa kiingereza inaitwa Gentlemans Agreement.
Ukichukua dhamana, unayabeba na matatizo yake na kuyatatua.
Huwezi chukua dhamana halafu matatizo unamuachia aliyekuamini, hapo unakuwa tapeli.
Tukipatana huu mzigo ni milioni tisa, basi pengine nikiachie kile kidogo cha kazi yako , vinginevyo jina lako likisha chafuka redio mbao zipo nyingi tu.
Utabeba jina la zulumat na heri kuhama soko.
Watu wengi wa sokoni hawana hata aibu, yani mi wananikerega sana
 
Back
Top Bottom