Ni kweli kinachoonekana hapa ni kusubir miez mitatu ifike awe disqualified na ubunge then jimbo libaki empty na uchaguz uitishwe tena. So sad nchi yetu wallah
Hapa kuna kitu zaidi ya muziki. Kwan wasafi ndio watu wa kwanza kuwa na ofisi za muzik Tanzania? Ofisi sio lazma iwe jengo la kupendeza, kuna studio ngap wanamuzik wanamilik hatuhawah kushuhudia viongoz wanaenda huko. Kuna bongo records, mj record na zngne hzo ni ofisi zawasa ii hakuna kiongoz...
Naomba nikupe tu ushauri ndugu yangu. Kama kweli ni mpenzi wa habari zilizochambuliwa kwa kina fanya kuangalia kupitia Azam Tv 2, otherwise km hautumii decorder yao. jamaa wana habari nzur na zilizochambuliwa vzr. Kuna watu wenye weledi mkubwa wa habari kama Charlea Hilal, Raymond Nyamuhula...
Ingekua vzur km wangekua wanauluza maswali yanayoibua majibu ya kero fulani miongoni mwa watazamaji wao. Kwa mfano "NINI KIFANYIKE KUZUIA UJENZI WA GEREJI BUBU MTAANI" hapo wangekua wanakusanya maoni mengi sana kuliko maswal ya muongozo.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.