Mpaka kufika chuo inamchukua miaka 18 yaan kutoka awali mpaka la saba miaka nane jumlisha miaka 6 ya advancebna orlevel unapata miaka 14 jumlisha miaka mitatu ya chuo jumla miaka 17 na mwaka mmoja wa kusota miaka 18
Wapunguze miaka ya kusoma imekuwa mingi mno na haina maana yoyote zaidi ya kupoteza muda inakera sana unapoteza muda 18yrs unasoma hakuna ajira wala uwezo wa kujitegemea kwenye soko la ajira African we are not seriously
Kabisa dada yangu mimi nakumbuka nilipooa ndio mambo yangu yakaanza kunyooka huko nyuma ilikuwa nikipata pesa naanzisha miradi inakufa hasara na mimi, mpaka nikahisi nimerogwa nikaenda kutambika kwetu nikahisi mizimu imechukia [emoji1][emoji1][emoji1], nilipooa tu kwisha habari, kumbe mda...
Ahsante kwa ufafanuzi huu ndugu yangu, lakini unakumbuka Mungu alipokuwa anaumba dunia alizihesabu siku, yaani kutoka siku ya kwanza alipotenganisha Nuru na Giza pale mwanzo 1:1 ile ilikuwa siku ya kwanza na kama hakuna muda kwa Mungu je alikuwa anauhesabu vipi ule muda wa siku saba katika...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.