TIA the bestHABARI
Kwahapa Dar nichuo gani kipo juu kwakozi ya BUSINESS ADMINISTRATION
Kuna muhitimu anataka kujiunga nakozi ya Business ADMINISTRATION kwangazi ya BACHELOR
Mwenye uelewa mpana kuhusu hii kozi atusaidie pia..
kwanza hongera kwa kuweza kuchaguliwa kuendelea na masomo ya ngazi ya juu, Naam vyuo kwa hapa Dar vinavyotoa kozi ya BBA ni vyingi sasa basi kujua ni chuo gani bora inabidi utambue kuwa chuo bora hutokana na ubora wa wanafunzi hivyo basi ubora wako ni kitu cha pekee na si chuo bora .HABARI
Kwahapa Dar nichuo gani kipo juu kwakozi ya BUSINESS ADMINISTRATION
Kuna muhitimu anataka kujiunga nakozi ya Business ADMINISTRATION kwangazi ya BACHELOR
Mwenye uelewa mpana kuhusu hii kozi atusaidie pia..
Unaweza weka list ya vyuokwanza hongera kwa kuweza kuchaguliwa kuendelea na masomo ya ngazi ya juu, Naam vyuo kwa hapa Dar vinavyotoa kozi ya BBA ni vyingi sasa basi kujua ni chuo gani bora inabidi utambue kuwa chuo bora hutokana na ubora wa wanafunzi hivyo basi ubora wako ni kitu cha pekee na si chuo bora .
TUMAINIUnaweza weka list ya vyuo
Karibu OPEN UNIVERSITY OF TANZANIA CHUO BORA KABISA KWA MASOMO YA BIASHARA SAYANSI NA SANAAHABARI
Kwahapa Dar nichuo gani kipo juu kwakozi ya BUSINESS ADMINISTRATION
Kuna muhitimu anataka kujiunga nakozi ya Business ADMINISTRATION kwangazi ya BACHELOR
Mwenye uelewa mpana kuhusu hii kozi atusaidie pia..
Wa kiumeMwanafunzi ni wakike?