Kwanini wanafunzi wasianze kidato cha kwanza na michepuo ya sayansi (Physics, Chemistry) au arts kwa kuzingatia matokeo ya Darasa la Saba?

Kwani la saba miaka hii kuna mtihani au uhuni?
Walimu wanawapa wanafunzi majibu yote, hesabu ni multiple choice.
Nilibahatika kwenda shule ya vipaji 2006/2007. Kule niliwakuta waliopata mpaka 100/100 kwa baadhi ya masomo. Mimi nilipata A 4 na B 1 sikuwa na marks kubwa sana sema tu nilichaguliwa kwakuwa shule ilikuwa kijijini Sana yaani porini na ni changa wakanibeba.
Kama mambo ndio haya basi bado tuna safari ndefu sana mkuu...
 
Kwani la saba miaka hii kuna mtihani au uhuni?
Walimu wanawapa wanafunzi majibu yote, hesabu ni multiple choice.
Nilibahatika kwenda shule ya vipaji 2006/2007. Kule niliwakuta waliopata mpaka 100/100 kwa baadhi ya masomo. Mimi nilipata A 4 na B 1 sikuwa na marks kubwa sana sema tu nilichaguliwa kwakuwa shule ilikuwa kijijini Sana yaani porini na ni changa wakanibeba. Wale niliowakuta na A flat na wengine kupiga 100% kwa masomo 2 au 3 niliwaburuza.
Kigezo Cha matokeo ya la 7 hakina mashiko miaka hii . Kuna vijana walikuja form one na A flat but form four wakatoka na four.
Hizi multiple choice usidharau sana.....ukipata mtunzi mzuri wa mtihani, hutoboi! Kwani yale maswali ya aptitude tests na hata IQ tests mengi si huwa ni multiple choice tu?
 
Wale niliowakuta na A flat na wengine kupiga 100% kwa masomo 2 au 3 niliwaburuza.
Kigezo Cha matokeo ya la 7 hakina mashiko miaka hii . Kuna vijana walikuja form one na A flat but form four wakatoka na four.
Doooh basi kazi ipo mkuu
 
Shikamooni wakubwa zangu wote wa hapa JamiiForums.

Ndugu zangu watanzania eti;

Kwanini wanafunzi wasianze kidato cha kwanza "directly" na michepuo ya sayansi (Physics, Chemistry) au arts kwa kuzingatia matokeo ya darasa la saba na sio kusubiri mpaka afike kidato cha pili?

Yale masomo saba ya msingi yabaki palepale ambayo ni BIOLOGY, GEOGRAPHY, HISTORY, KISWAHILI, ENGLISH, CIVICS, BASIC MATHEMATICS.

Yaani kwanini mwanafunzi aliyepata ufaulu hafifu katika somo la sayansi katika matokeo ya darasa la saba bado analazimika kusoma tena sayansi hiyo hiyo (Physics na Chemistry) kuanzia form I mpaka form II? Huko sio kuwapotezea muda hawa wanafunzi?

Kama ni kweli tunataka kupiga hatua na kuwa na wanasayansi bora hapo mbeleni, kwanini somo la sayansi kwa shule za msingi lisivunjwe mara tatu kisha yakapatikana masomo matatu ya Baiolojia, Fikizia pamoja na Kemia yatakayofundishwa separately kama ambavyo Kiingereza na Kiswahili vinavyofundishwa?

Hayo ni mawazo yangu tu ndugu zangu na ninakaribisha ukosoaji (Constructive Critisism)

NB: Suala la lugha ya kufundishia kati ya Kiingereza na Kiswahili kwa shule za msingi na secondary sio lengo la mada hii ninaomba tusilizungumzie kwa sasa.

USISAHAU: ENDELEA KUWA MZALENDO IPENDE TANZANIA. USICHAFUE TASWIRA NJEMA YA TAIFA LAKO. USTAWI WA NCHI YETU UNAANZA NA WEWE. TIMIZA WAJIBU WAKO IPASAVYO.
Wapunguze miaka ya kusoma imekuwa mingi mno na haina maana yoyote zaidi ya kupoteza muda inakera sana unapoteza muda 18yrs unasoma hakuna ajira wala uwezo wa kujitegemea kwenye soko la ajira African we are not seriously
 
Hayo masomo sana ni lazima mwanafunzi wa kidato cha nne ayafanyie mtihani ndio maana nikasema ni ya msingi
Labda kwa sasa hivi. Miaka hiyo wale waliosoma sekondari za ufundi masomo kama History, Geography na Biology walikuwa hawasomi/haafanyii mtihani form four. Nafikiri hata kwa wale wa michepuo ya biashara kuna baadhi ya hayo mosomo unayoita ya "msingi" hayakuwa ya msingi kwao.

But nakiri kuwa huenda nimepitwa na wakati sana.....na labda mambo yameshabadirika kwa sasa.
 
Shikamooni wakubwa zangu wote wa hapa JamiiForums.

Ndugu zangu watanzania eti;

Kwanini wanafunzi wasianze kidato cha kwanza "directly" na michepuo ya sayansi (Physics, Chemistry) au arts kwa kuzingatia matokeo ya darasa la saba na sio kusubiri mpaka afike kidato cha pili?

Yale masomo saba ya msingi yabaki palepale ambayo ni BIOLOGY, GEOGRAPHY, HISTORY, KISWAHILI, ENGLISH, CIVICS, BASIC MATHEMATICS.

Yaani kwanini mwanafunzi aliyepata ufaulu hafifu katika somo la sayansi katika matokeo ya darasa la saba bado analazimika kusoma tena sayansi hiyo hiyo (Physics na Chemistry) kuanzia form I mpaka form II? Huko sio kuwapotezea muda hawa wanafunzi?

Kama ni kweli tunataka kupiga hatua na kuwa na wanasayansi bora hapo mbeleni, kwanini somo la sayansi kwa shule za msingi lisivunjwe mara tatu kisha yakapatikana masomo matatu ya Baiolojia, Fikizia pamoja na Kemia yatakayofundishwa separately kama ambavyo Kiingereza na Kiswahili vinavyofundishwa?

Hayo ni mawazo yangu tu ndugu zangu na ninakaribisha ukosoaji (Constructive Critisism)

NB: Suala la lugha ya kufundishia kati ya Kiingereza na Kiswahili kwa shule za msingi na secondary sio lengo la mada hii ninaomba tusilizungumzie kwa sasa.

USISAHAU: ENDELEA KUWA MZALENDO IPENDE TANZANIA. USICHAFUE TASWIRA NJEMA YA TAIFA LAKO. USTAWI WA NCHI YETU UNAANZA NA WEWE. TIMIZA WAJIBU WAKO IPASAVYO.
Sikubaliani na hoja yako kwa sababu mimi binafsi shule ya msingi sikufanya vizuri masomo ya sayansi hata hisabati ila nilipopelekwa sekondari utoto uliponiisha nikapenda sayansi na hisabati na kufanya vizuri sayansi kuliko art kwenye matokeo ya O level. Hivyo nawaza mfumo wa sasa uendelee tu. Maana utafiti unaonyesha akili za watoto wa kiume zinaanza kutulia wakiwa kwenye advanced stage baada ya balehe ambayo ni huko O level. Watoto wa kike akili yao iko stable except kwa changamoto ndogondogo kama MP nk zingatia wao wanavunja ungo mapema wakiwa primary school wa kiume wanachelewa...kwa hiyo sekondari akili ya kijana wa kiume ndo inaanza kutulia....mimi wazo nalopendekeza miaka ya shule ya msingi ipunguzwe hadi miaka 6 au iongezwe hadi miaka 8 ya sekondari o level iwe 3 .
 
Back
Top Bottom