Tumeshakosea sasa inatosha,mda wa kukimbizana na adui wetu kuweza kumshinda sio mda wa kutunishiana misuri huu tubadilike,tuibadili jamii yetu inawezekana na tutoe fikra mbaya zisizojenga kichwani mwetu tujaze zilizobora hat wanetu wakizisikia hazitaathiri malezi yao
Yani maana yangu ni kwamba malezi yanamtegemea mama zaidi kuliko baba,mama akifeli kwenye malezi akiwa na tabia za hovyo usitegemee kupata mtoto mwenye maadili,lkn baba anaweza kuwa wa hovyo mtoto akatoka na maadili safi.
Tambua kuwa mtoto mzuri ni wa baba na mtoto mbaya wa mama
Nyinyi wazazi wa kileo mmekosea mkatolewa bikra basi jitahidini muwalee watoto wenu katika miiko itakayowaepusha
Wewe umekosea imetolewa basi jitahidi kwa mwanao wa kike kumlea katika maadili na mume wake aikute hiyo bikra. Mbona hao wachache wanaweza kuzitunza na wanaume wenye bahati...
Labda
njaa, sioni tukishinda mbele ya Liver huyo Benfica tu tuliambulia goli la papatu papatu.
Yani Chelsea yetu kuna shida kubwa sana yani kuna mda unaona km imetulia na inaweza kushindana na timu yoyote ghafla inakushangaza inavyohangaika kupata ushindi hata kwa timu ndogo tu acha na hizo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.