Mwaka wa nane huu mke wangu anahangaikia uhamisho, amekuja dodoma zaidi ya mara tano, ameandika barua zikiwa na viambatanisho vyote muhimu lakini kupo,
Kwanini mnakua hivyo? Seriously miaka nane kuwa mbali na familia inauma sana, naombeni fanyeni kitu muiunganishe familia yangu
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.