Kwa jinsi viongozi wetu wengi wa nchi za kiafrika walivyokubuhu katika wizi wa kura,hilo la goodluck kushindwa naliona kama sio rahisi kiviiile...
Sent from my BlackBerry 9810 using JamiiForums
Azam t.v vipi jamani? Real madrid t.v mliyoileta/ kuiongeza kwangu inaandika access denied, je, tatizo hili ni kwangu tu ama na watumiaji wengine wa azam t.v? Kama ndio, mtalitatua vipi ili sisi wapenda mpira tupate burudani,
Isidingo haiwezi kwisha kwa mantiki ya kuwa wachoonesha ni maisha ya kila siku na changamoto, watu, tabia na mengineyo yaliyopo katika maisha ya uhalisia, kama ni mfwatiliaji wa Muda mrefu utaona kuwa ni tamthilia ambayo ina akisi maisha ya kila siku ya mwanadamu na changamoto zake.
N.B...
Cha msingi kama ulemavu wake haumzuii kufanya shughuli za rais kama kiongozi wa nchi na amiri jeshi mkuu then anaweza kukagua gwaride la jeshi kwa wheel chair
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.