jina halisi inaitwa eutelsat25, au es'hail1 inachanel za bein sport.
sikudharau ila ndio ukweli kua hauna uwezo wa kununua satelite.
Kwenye fani hii mimi naona chenga tu mkuu,na kwenye khs hv ving'amuzi tunavyoweza kuvimiliki kwa ss wa hali ya chini kwa bongo nishanunua easy tv,startime,continental na vyote havijanifurahisha,nilikuwa na wazo wa kununua azam tv lkn kutokana na maoni ya wadau wengi humu nimeona ni km jamii ile ile ya ving'amuzi vingine,naomba kwa uelewa wako unieleweshe khs haya maujanja mnayoyadadavua ktk huu uzi
sikudharau ila ndio ukweli kua hauna uwezo wa kununua satelite.
Kwenye fani hii mimi naona chenga tu mkuu,na kwenye khs hv ving'amuzi tunavyoweza kuvimiliki kwa ss wa hali ya chini kwa bongo nishanunua easy tv,startime,continental na vyote havijanifurahisha,nilikuwa na wazo wa kununua azam tv lkn kutokana na maoni ya wadau wengi humu nimeona ni km jamii ile ile ya ving'amuzi vingine,naomba kwa uelewa wako unieleweshe khs haya maujanja mnayoyadadavua ktk huu uzi
hata mm nami nina tatizo hlo hlo la rodriguz haitoi saut wala kuonyesha yan iko plane tuuu mwenye ujuz wwote kuusu ujuzi huu atudadvulie
Hiyo nadhani wamehamisha satellite
wameamisha vip mkuu na salelate ip na jee ni njia gan ya kuipata tena em nipe maufundi FRANCO