m nazan mpk mwk ukikarbia kuisha ile kauli "WATANZANIA TUFUNGE MIKANDA" itawadia...wenzetu wanatushinda kutok n wmeamua kuyafnyia kaz mawazo y profeshen zao n kuwaz zaid y uhalisia ndio maan tutabk kuwaon n watu w ajabu.ukiwez kuchez n akil y mtu RAHA, km tulvochezeshw tok enz z ukolon...
kw utafit nliofany mm asilimia kubw ya wanawake wanapend wawe n maish mazur n kuish n mwanaume anaempend bila kujal kuw n kbamia au n hoho.mwnamke ardhk kw icho tu.faraj y mwnamke ipo kwny maisha mazur.mwnaume jitume ufnye kazi umtunze mkeo n yy atrdhk n ww kw hali yyte y kimaumbile uliyo...
"Mfumko wa bei umeendelea kubakia tarakimu moja (single digit) na
umepungua kutoka wastani wa asilimia 19.8 Desemba, 2011 hadi kufikia
asilimia 4.8 Desemba, 2014 na asilimia 4.3 Machi, 2015"...naomb kufaham mwenye takwim z mfumuko w bei 2016-2017 ukoje umezd kupngua km ilan ilivyoadhimia au...
ilani ya chama n dira kuonyeshw muelekeo w serkl y cham twala ipte wali n itilie wap mkazo...mtoa hoja hususan swali l 5 lnajibw kdg kw ila kw kuonyesh kpaumbel ch elim lkn vfungu vnavyofat vnabid vjbiwe kw takwimu halis z sasa n sio z 2015.kusoma ilan pekeee haitoshi.wanaccm mlioisoma fafanuen...
katika siasa unapokua upande pinzani n lazim utetee kile unachokiamin ,n ndo inavyotakiw .lkn unapokir n kuon co sahihi n kuungan n upnde mwngne kutetea hoj y msingi unakua shujaa,lowas akiw ccm alipng upnzn lkn leo yuko upnzn anakosoa mazaifu y ccm...inabidi uwe n weledi wa kuitambua siasa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.