Kama anajali maslahi yake tu maana yake ni kuwa hakujali wewe, hawezi kuheshimu hata uwepo wako na anakuona kama mtumwa tu kwake. Hii ni saikolojia ndogo sana mkuu.
Ulichokiandika ni onyo la kiutu uzima hasa ukizingatia andiko la mkuu Nifah (ref: Ulimwengu mzima kiganjani mwa CIA) inaweza kula kwetuMh Rais Magufuli, ktk mambo mengi upo sahihi na kama ni makosa basi ni ya kibinadamu. Ila nafikiri kuna kitu ambacho wenda hujakipatia sawa sawa ama bado hujapata habari kwa usahihi wake.
Mosi, lazima tukubaliane na ukweli kabisa kwamba kutokana na mazingira halisi ya ulaya hawawezi kuishi kwa amani wasiponyonya kwa nguvu nchi za afrika na Karebean na uarabuni. Na hivyo, hakuna fair trade ktk vitu ambavyo wanavyovihitaji kuendesha maisha yao na kizazi chao, na ya kwamba ni lazima wachukue vitu kwa bure ama bei inayokaribia na hapo.
Cha mhimu kujiuliza je tuna nguvu za kuwasimamisha kivita ama ktk ku control financial system? Sasa tukipata majibu inabidi kuchukua tahadhari sahihi hasa tunapo deal na yalipo masilahi yao. Siyo kwamba naandika haya kwa sababu tunawaogopa ila hali halisi yenyewe inanisukuma kuandika haya. Wazungu wao wanasema "wako radhi kufanya kazi na shetani palipo na masilahi yao".
IMF, UN, World bank, mahakama za dunia na vyombo vya habari ni mali za wazungu. Na wazungu ni wamoja sana kupita kipimo. Hivyo ukizuia mali za wazungu, tuseme dhahabu, umezuia mali ya IMF ama World bank.Na hivyo hawa (IMF, World bank, UN, court zote)hawatakuja kufurahia hata kidogo, watakufanyia hujuma na kukwamisha karibu ktk kila kitu.
Maoni yangu, we have to know our place. Ya kwamba tu deal na mafisadi wetu, hawa mafisadi wa dunia jaribu ku negotiate nao objectively na wakati huohuo tukiangalia maeneo mengine yatoyotunyanyua ktk maendeleo. Kukwaruzana nao hasa ktk madini, wanaweza turudisha ktk nyakati za ujima. Hawa jamaa kwa hujuma wame qualify kwa kiwango cha juu sana.
Ushauri, kaa nao mezani mkubaliane nao amicably the way forward. Hiyo kamati uliounda hata wakikuta dhahabu wazungu wanaiba, na imejaa kwenye macontena, naamini kwenye vyombo vyao hawataandika wala kuonesha kwamba wazungu wanaiba africa. Wao watachokifanya ni ku potray wewe, wao wanavyotaka uonekane ktk jamii ya dunia. Again, chochote kamati uliyoiunda itakachokuta kwenye makontena kaa nao ukubaliane kwa mazungumzo mezani.
Kama hautojari mama tumegee kidogo kisa hicho nasi tujifunzeYou're either with us or you are against us - George Bush Jr.
Ndiyo maana mara nyingi zinapokuja mada kuhus wawekezaji wa ki Magharibi huwa nnakumbusha kisa cha Tiny Rowlands na Nyerere.
Tiny alituumiza sana.
Kama hautojari mama tumegee kidogo kisa hicho nasi tujifunzeYou're either with us or you are against us - George Bush Jr.
Ndiyo maana mara nyingi zinapokuja mada kuhus wawekezaji wa ki Magharibi huwa nnakumbusha kisa cha Tiny Rowlands na Nyerere.
Tiny alituumiza sana.
Nimekuelewa sana tu lakini mind you that kwenye ulimwengu wa sasa hivi njia hizi zote zinatumika yanapokuja maslahi ya taifa husika yani diplomatically na ikishindikana hii njia ya pili hutumika violently acting hapa ni kama liwalo na liwe.Mkuu
Ni vision ndogo sana inayotakika kutumika yani ya kwamba ni kutambua potential power mtu aliyonayo. Na ukishaishaona potential ya mtu aliyonayo, then you could approach the problem logically.
Mfano unafahamu kabisa potential power aliyonayo rais wako ama mkuu wako ni power kubwa, however though, it could be an absurd, uki opt mu approach rais ama mkuu wako huyo kwa confrontations. Siyo kwamba uki avoid hiyo path atakuona wewe ni mtumwa ama unamuogopa, bali atakuona uko very strong , matured and perfect fellow to work with under the context of mutual interest.
Na vile vile it's somehow wild, ukikuta mbuzi wako kachukuliwa na mamba analiwa na mamba wengi mtoni majini na ukaamua kujitosa kwenye mto ulio jaa mamba eti kwenda kumuokoa mbuzi na ukijipiga kifua ya kwamba you'r superman na eti you could fight all the odd na kuwa defeat mamba walio mtoni majini.
Kama unaabudu wazungu shauri lako , mutual respect ndo msingi, si kuwaogopa !Mh Rais Magufuli, ktk mambo mengi upo sahihi na kama ni makosa basi ni ya kibinadamu. Ila nafikiri kuna kitu ambacho wenda hujakipatia sawa sawa ama bado hujapata habari kwa usahihi wake.
Mosi, lazima tukubaliane na ukweli kabisa kwamba kutokana na mazingira halisi ya ulaya hawawezi kuishi kwa amani wasiponyonya kwa nguvu nchi za afrika na Karebean na uarabuni. Na hivyo, hakuna fair trade ktk vitu ambavyo wanavyovihitaji kuendesha maisha yao na kizazi chao, na ya kwamba ni lazima wachukue vitu kwa bure ama bei inayokaribia na hapo.
Cha mhimu kujiuliza je tuna nguvu za kuwasimamisha kivita ama ktk ku control financial system? Sasa tukipata majibu inabidi kuchukua tahadhari sahihi hasa tunapo deal na yalipo masilahi yao. Siyo kwamba naandika haya kwa sababu tunawaogopa ila hali halisi yenyewe inanisukuma kuandika haya. Wazungu wao wanasema "wako radhi kufanya kazi na shetani palipo na masilahi yao".
IMF, UN, World bank, mahakama za dunia na vyombo vya habari ni mali za wazungu. Na wazungu ni wamoja sana kupita kipimo. Hivyo ukizuia mali za wazungu, tuseme dhahabu, umezuia mali ya IMF ama World bank.Na hivyo hawa (IMF, World bank, UN, court zote)hawatakuja kufurahia hata kidogo, watakufanyia hujuma na kukwamisha karibu ktk kila kitu.
Maoni yangu, we have to know our place. Ya kwamba tu deal na mafisadi wetu, hawa mafisadi wa dunia jaribu ku negotiate nao objectively na wakati huohuo tukiangalia maeneo mengine yatoyotunyanyua ktk maendeleo. Kukwaruzana nao hasa ktk madini, wanaweza turudisha ktk nyakati za ujima. Hawa jamaa kwa hujuma wame qualify kwa kiwango cha juu sana.
Ushauri, kaa nao mezani mkubaliane nao amicably the way forward. Hiyo kamati uliounda hata wakikuta dhahabu wazungu wanaiba, na imejaa kwenye macontena, naamini kwenye vyombo vyao hawataandika wala kuonesha kwamba wazungu wanaiba africa. Wao watachokifanya ni ku potray wewe, wao wanavyotaka uonekane ktk jamii ya dunia. Again, chochote kamati uliyoiunda itakachokuta kwenye makontena kaa nao ukubaliane kwa mazungumzo mezani.
na ushindwe. watu kama nyie mnao ABUDU wazungu ni WAHAINI: WEWE NI MHAINI HUTUFAI TZ; HATUTAZUNGUMZA NAOMh Rais Magufuli, ktk mambo mengi upo sahihi na kama ni makosa basi ni ya kibinadamu. Ila nafikiri kuna kitu ambacho wenda hujakipatia sawa sawa ama bado hujapata habari kwa usahihi wake.
Mosi, lazima tukubaliane na ukweli kabisa kwamba kutokana na mazingira halisi ya ulaya hawawezi kuishi kwa amani wasiponyonya kwa nguvu nchi za afrika na Karebean na uarabuni. Na hivyo, hakuna fair trade ktk vitu ambavyo wanavyovihitaji kuendesha maisha yao na kizazi chao, na ya kwamba ni lazima wachukue vitu kwa bure ama bei inayokaribia na hapo.
Cha mhimu kujiuliza je tuna nguvu za kuwasimamisha kivita ama ktk ku control financial system? Sasa tukipata majibu inabidi kuchukua tahadhari sahihi hasa tunapo deal na yalipo masilahi yao. Siyo kwamba naandika haya kwa sababu tunawaogopa ila hali halisi yenyewe inanisukuma kuandika haya. Wazungu wao wanasema "wako radhi kufanya kazi na shetani palipo na masilahi yao".
IMF, UN, World bank, mahakama za dunia na vyombo vya habari ni mali za wazungu. Na wazungu ni wamoja sana kupita kipimo. Hivyo ukizuia mali za wazungu, tuseme dhahabu, umezuia mali ya IMF ama World bank.Na hivyo hawa (IMF, World bank, UN, court zote)hawatakuja kufurahia hata kidogo, watakufanyia hujuma na kukwamisha karibu ktk kila kitu.
Maoni yangu, we have to know our place. Ya kwamba tu deal na mafisadi wetu, hawa mafisadi wa dunia jaribu ku negotiate nao objectively na wakati huohuo tukiangalia maeneo mengine yatoyotunyanyua ktk maendeleo. Kukwaruzana nao hasa ktk madini, wanaweza turudisha ktk nyakati za ujima. Hawa jamaa kwa hujuma wame qualify kwa kiwango cha juu sana.
Ushauri, kaa nao mezani mkubaliane nao amicably the way forward. Hiyo kamati uliounda hata wakikuta dhahabu wazungu wanaiba, na imejaa kwenye macontena, naamini kwenye vyombo vyao hawataandika wala kuonesha kwamba wazungu wanaiba africa. Wao watachokifanya ni ku potray wewe, wao wanavyotaka uonekane ktk jamii ya dunia. Again, chochote kamati uliyoiunda itakachokuta kwenye makontena kaa nao ukubaliane kwa mazungumzo mezani.
Hujui system za Dunia wewe unapayuka tu, hio WB rais wao ni lazima awe Mmarekani na achaguliwe na Rais wa Marekani na athibitishwe na senet ya Marekani, hii ni kwa maslahi ya Marekani. Kwa hio Tanzania ni kama tembo kugombana na chura, Tanzania is nothing to North America na Europe, wala hawana haraka nae huyo Magu wanamtizama tu akiendelea kuwazingua watamnyoosha tu very easy.Tanzania ni zaidi ya Venezuela na Hugo Chavez mkuu. Soma alama za nyakati.
Tanzania is nothing to North America na Europe, wala hawana haraka nae huyo Magu wanamtizama tu akiendelea kuwazingua watamnyoosha tu very easy.