Naomba majibu ya kisiasa na kiuchumi kwa maswali haya

Paul Alex

JF-Expert Member
Jul 14, 2012
4,240
9,527
1. Serikali inafanya nini kuzisaidia sekta zetu zenye uwezo wa kutoa ajira nyingi kuongeza ajira?
+ Je, serikali ina lengo lolote kwa maana ya namba ya ajira inayopanga kuongeza kwenye uchumi?

2. Deni letu la taifa ni kubwa kiasi gani?
+ kuna mkakati wowote wa kulipunguza?

3. Kuna mkakati wowote mahususi kwaajili ya kukuza uchumi wetu ndani ya miaka hii mitano?
+ kama upo, ni upi? tumefikia wapi katika kuufanikisha?

4. Serikali yetu ni kubwa au ndogo ukilinganisha na serikali iliyopita?
+ Nini tofauti katika matumizi na ufanisi?

5. Nini kipaumbele cha serikali katika sekta ya elimu?
+ Tumeongeza ajira ngapi katika sekta ya elimu?
+ Riba ya mikopo ya elimu ya juu ni asilimia ngapi ya mkopo.
+ Mapungufu kati ya mahitaji ya mikopo kwa sasa na kiasi kinachotolewa ni kiasi gani?

Wadau maswali haya yamenitatiza kweli. Naomba yeyote mwenye uelewa na ushahidi wa majibu ya maswali haya tujuzane. karibu!
 
1. Serikali inafanya nini kuzisaidia sekta zetu zenye uwezo wa kutoa ajira nyingi kuongeza ajira?
+ Je, serikali ina lengo lolote kwa maana ya namba ya ajira inayopanga kuongeza kwenye uchumi?

2. Deni letu la taifa ni kubwa kiasi gani?
+ kuna mkakati wowote wa kulipunguza?

3. Kuna mkakati wowote mahususi kwaajili ya kukuza uchumi wetu ndani ya miaka hii mitano?
+ kama upo, ni upi? tumefikia wapi katika kuufanikisha?

4. Serikali yetu ni kubwa au ndogo ukilinganisha na serikali iliyopita?
+ Nini tofauti katika matumizi na ufanisi?

5. Nini kipaumbele cha serikali katika sekta ya elimu?
+ Tumeongeza ajira ngapi katika sekta ya elimu?
+ Riba ya mikopo ya elimu ya juu ni asilimia ngapi ya mkopo.
+ Mapungufu kati ya mahitaji ya mikopo kwa sasa na kiasi kinachotolewa ni kiasi gani?

Wadau maswali haya yamenitatiza kweli. Naomba yeyote mwenye uelewa na ushahidi wa majibu ya maswali haya tujuzane. karibu!


Pakua ilani ya uchaguzi ya CCM ya 2015/2020 ina majibu ya maswali yako yote.

Hii hapa: http://www.mwanza.go.tz/storage/app/uploads/public/58a/45b/1d0/58a45b1d05fda857969978.pdf

Majibu tumeyatowa 2015 wewe unauliza leo!

Unanshangaza!
 
Hapo umetoa jumla bila kujibu hoja halisi.
1. Ulipaswa kujibu kulingana na swali.
2. Ulipaswa kuweka kiwango kutokana na wakati ambao swali limeulizwa.


Umeshaisoma ilani yote mara hii?

Majibu kamili ya humo, kipi hujakielewa?
 
Soma ilani. Haiwezekani uwe umeisoma na kunijibu kwa dakika 7.
Ndio, ilani inaweza ikawa na majibu, lakn tunataka kujua ni kwa kiasi gani majibu hayo yamefanyiwa kazi. Nazan ukijib hayo maswal uliyoulizwa hapo juu, utakua umekata mzizi wa fitna, twende kaz mkuu
 
Ndio, ilani inaweza ikawa na majibu, lakn tunataka kujua ni kwa kiasi gani majibu hayo yamefanyiwa kazi. Nazan ukijib hayo maswal uliyoulizwa hapo juu, utakua umekata mzizi wa fitna, twende kaz mkuu

Kwanza aelewe na akubali kuwa hayo yanaguswa na ilani ya CCM, aisome ilani na aielewe.
 
Mkuu, kwan ilani imejibu ni kiasi gani cha riba wanatozwa wanafunzi wa elimu ya juu??
Anakimbia jibu. Ilani itoke 2015 leo 2017 halafu aseme imejibu je imefanyiwa masahihisho lini kuwa wamefikia kiasi gani cha kazi?
 
Sababu ya kuuliza ni kutaka kuona uhusino kati ya kilichoko kwenye ilani na kinachoendelea kwa sasa.
Hakuna mkakati wala mpango wowote , ushahidi ni bajeti ya serikali ya 2016 - 2017 , unaambiwa tia maji tia maji 34% , haijawahi kutokea !
 
ilani ya chama n dira kuonyeshw muelekeo w serkl y cham twala ipte wali n itilie wap mkazo...mtoa hoja hususan swali l 5 lnajibw kdg kw ila kw kuonyesh kpaumbel ch elim lkn vfungu vnavyofat vnabid vjbiwe kw takwimu halis z sasa n sio z 2015.kusoma ilan pekeee haitoshi.wanaccm mlioisoma fafanuen maswal mnayoulizwa.unawez ukasom ilan ukshindw kuoanish n swali husika
 
Back
Top Bottom