Recent content by X man

  1. X man

    JamiiForums Tanzania HOJA Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita Watu kazini?

    🤣🙄🙄🙄🤣🤣🤣 Kuna mapya gan
  2. X man

    JamiiForums Tanzania HOJA Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita Watu kazini?

    Kada zipi izo
  3. X man

    JamiiForums Tanzania HOJA Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita Watu kazini?

    🤣🤣🤣🤣🤣Hawa hayaeleweki wanakuandikia databank afu unakuta wanatangaza ajira hizo hizo walizokuweka databank
  4. X man

    JamiiForums Tanzania HOJA Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita Watu kazini?

    Naona saivi wametuletea mambo ya data bank
  5. X man

    JamiiForums Tanzania HOJA Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita Watu kazini?

    Wale wa database naona fagio linapita hiyo naona saivi wanachukuwa wa mwezi wa 12 mpaka wa 8
  6. X man

    JamiiForums Tanzania HOJA Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita Watu kazini?

    Pole sana Haina namna kuendeleza mapambano, mimwenyewe hivi Sasa na 30 mwez wa 12 natimiza 31 nimeamua kuoa kwa sabab uelekeo wenyewe haupo wa job,usaili tunafanya lakini bahat hazipo kwetu tuzid kumuomba Mungu na tusikate tamaa
  7. X man

    JamiiForums Tanzania HOJA Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita Watu kazini?

    Hongera sana,umepangiwa kada ipi Umetokea data base au
  8. X man

    JamiiForums Tanzania HOJA Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita Watu kazini?

    System inagoma unatakiwa uwe na chet Cha udereva na chet Cha form four kwenye mfumo
  9. X man

    JamiiForums Tanzania HOJA Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita Watu kazini?

    System inagoma unatakiwa uwe na chet Cha udereva na chet Cha form fo
  10. X man

    JamiiForums Tanzania HOJA Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita Watu kazini?

    Ivi alieanzisha huu Uzi Angetunukiwa medari from 2022 mpaka Leo hakuna mwenye jibu
  11. X man

    JamiiForums Tanzania HOJA Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita Watu kazini?

    IVI MATOKEO YA ORAL WANAANZA KUTOA LINI
  12. X man

    JamiiForums Tanzania HOJA Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita Watu kazini?

    🤣🤣🤣🤣🤣hivi hilo neno haki na usawa huwa wanalifanyia KAZI kweli
  13. X man

    JamiiForums Tanzania HOJA Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita Watu kazini?

    Fungu la kukosa
  14. X man

    JamiiForums Tanzania HOJA Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita Watu kazini?

    🤣🤣🤣🤣🤣
  15. X man

    JamiiForums Tanzania HOJA Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita Watu kazini?

    Jamani hii huwa inakuaje na maksinunapewa zote au
Back
Top Bottom