Programming ina depend zaid na personality ya mtu. ukiwa unaweza kukaa 8+ hours reading something mpk uelewe thats green light, u need to spend alot of time kujifunza how stuff works, na huwezi kufanikiwa ikiwa huna passion.Last thing jitahidi usome kwa mpangilio ili usipoteze muda, so u need...
Nakupa pongezi mleta mada unaonekana una uzalendo wa nchi yako, hz ishu za upigaji ziko nyingi sana aisee, tusiwaone wajinga Korea na China wanaamua kutiana risasi kwa rushwa na ufisadi, sisi huku tunachekeana.
Hii dhana ya kukariri code basi ww ni programmer mzuri inawapoteza watu wengi sana, solving problemz skill ni key katika programming, syntax unacheki katika docs ya language/framework husika na ukitumia mara kwa mara unakumbuka.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.