Jamani wanajamvi sio kila siku lawama tu kwa serikali yetu ya JPM, panapo pongezi ni lazima tuseme, siku za ivi karibuni serikali imesambaza vifaa vya maabara vya kila aina ikiwemo chemicals za kila aina kwa masomo ya Chemistry, Biology na Physics......
Pia hawakuyasahau baadhia ya masomo ya...
Tatizo ni dawa za kulevya, tatizo si umaarufu nafikilia ingekuwa vyema zaidi yeye kushirikiana na mawaziri wenzake kusaidia kushika hao mateja anao wasema wapo huku na kule hapo Dar! Makonda wasomeshe maana hakuna jinsi....
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.