Hahaaaa makanisan na misikitin kila MTU anapita mbele anashukuru Mungu kwa kumpata wa ubavu wake kama malaika. tunashukuru we ushuhuda wako umeleta JamiiForums ,kwa hio sio ajabu.Hongera mkuu
khaaaaaaaaaaa kiumbe huyo kakudanganya unasema wanawake waongo we nawe si umkatae kimya kimya mpaka ujumlishe wote khaa amekwambia haridhiki??????? labda hisia tu kwako
hahaaaaaaaa akukwaze ulietoka nae alivyokua kama gogo unakuja kusema si jukumu lako kumrifhisha k wenzio wanafanya vyooooooooote .mchezo unakua drooo kama unawaza kuhonga utaibiwa sana
mlikua mnachepuka enyi wanaume toka enz za mababu.sasa wanawake wamepunguza kids kwa BP kufanya ngoma drooo mnaliaaaaaaaaa vibaya muno na wao wa mioyo sio mawe kifuani
samahan mtoa mada kama ww ni mwalim mm ni mwalim mwenzio khaaa umeandika kama unaharaka ya kumpokea zuma khaaa hakuna mpangilio kueleweka hii maada yako inahitaji nguvu ya ziada ukiwa kibashite bashite unaweza hoji tena hebu anza polepole zuma ana wenyewe bwana
achana nae mwanaume atakusumbua huyo hata ndoani kama mapema hivi kipyenga kimelia jee akishakubanjua vya kutosha uwiiiii atakua haachi hata mia .si akope mwenyewe kama ana uhakika wa kulipa .atakuja wako mama ucpanic kwa vile hujaolewa na x wako subiri kwanza
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.