Walimu tumepigwa kwenye ziara hii ya Zuma

kisia

Member
May 5, 2017
20
117
Kwenye kumpokea Raisi wa Afrika ya Kusini walimu wamanispaa ya Ilala wakaambiwa wakampokee kuna walio kuwa uwanja wa ndege kuna walio kuwa Ikulu sasa tatizo lilikua kwenye posho karatasi walizopewa wasaini zilikuwa zimeandikwa 30,000 lakini waliyopewa ilikua 20,000.

Wale waliohoji mbona napokea 20,000 wakati imeandikwa 30,000 alijibiwa bajeti ni ndogo imebidi tubane hela wapo pia ambao walipata udhuru hawakuja, je hela zao zilirudishwa? jamn walimu wanaonewa sana na kuonekana kama mbuzi wa kafara
 
Kwenye kumpokea Raisi wa Afrika ya Kusini walimu wamanispaayaIlala wakaambiwa wakampokee kuna walio kuwa uwanja wa ndege kuna walio kuwa Ikulu sasatatizo lilikua kwente poshi karatasiwalizopew wasaini zilikuao zimeandikwa 30000 lakini waliyopewa ilikua 20000 na wale waliohoji mbona napokea 20000 wakati imeandikwa30000 alijibiwa bajeri ni ndogo imebidi tubane hela wapo pia ambao walipata udhuru hawakuja je hela zao zilirudishwa?jamn walimu wanaonewa sana na kuonekana kama mbuzi wa kafara
samahan mtoa mada kama ww ni mwalim mm ni mwalim mwenzio khaaa umeandika kama unaharaka ya kumpokea zuma khaaa hakuna mpangilio kueleweka hii maada yako inahitaji nguvu ya ziada ukiwa kibashite bashite unaweza hoji tena hebu anza polepole zuma ana wenyewe bwana
 
Mambo ya Mange Kimambi haya Huko Instagram nani akulipe wewe uende ukampokee Mgeni Acheni Uongo Shangazi enu ambaye ni Mke wangu Mimi ni mwalimu na anasema hakuna Kitu kama hiki
Una deserve kabisa kuwa na mke mwalimu, maana sio kwa post zako nazo kutananazo humu. Hakika maji hayajawahi kuruka mkondo.
 
Una deserve kabisa kuwa na mke mwalimu, maana sio kwa post zako nazo kutananazo humu. Hakika maji hayajawahi kuruka mkondo.
Acha ubishi wa kijinga hakuna? ulikuwepo watu wamepiga hela uliza uambiwe walimu wa Ilala
 
Mambo ya Mange Kimambi haya Huko Instagram nani akulipe wewe uende ukampokee Mgeni Acheni Uongo Shangazi enu ambaye ni Mke wangu Mimi ni mwalimu na anasema hakuna Kitu kama hiki
Acha ubishi wa kijinga wewe huyo shangazi yako mwalimu wa huko Matombo atayajuaje ya mjini
 
samahan mtoa mada kama ww ni mwalim mm ni mwalim mwenzio khaaa umeandika kama unaharaka ya kumpokea zuma khaaa hakuna mpangilio kueleweka hii maada yako inahitaji nguvu ya ziada ukiwa kibashite bashite unaweza hoji tena hebu anza polepole zuma ana wenyewe bwana
Huyo siyo mwalimu ameokoteza tu kwa Mange Kimambi uzushi huo naye akaleta humu
 
Mnaogopa nini walimu wakati uhakiki umeishaisha au wameenda wale wenye vyeti feki wakidhani mkulu atawaonea huruma? Walimu jitambue
 
Acha ubishi wa kijinga wewe huyo shangazi yako mwalimu wa huko Matombo atayajuaje ya mjini
Acha hizo wewe na habari zako za Vijiweni kuna Utaratibu wa Kupokea wageni kwanza Ukiacha wafanyaki wa Wizara ya Mambo ya Nje Ikulu wenyewe tuu huwa ni Wengi acha Kuwapakazia waalimu Kwa kumsoma Mange Kimambi Niliona Post hii Museven alivyokuja naona na Leo mmekuja nayo.
 
Acha Ujinga wewe na habari zako za Vijiweni kuna Utaratibu wa Kupokea wageni kwanza Ukiacha wafanyaki wa Wizara ya Mambo ya Nje Ikulu wenyewe tuu huwa ni Wengi acha Kuwapakazia waalimu Kwa kumsoma Mange Kimambi Niliona Post hii Museven alivyokuja naona na Leo mmekuja nayo.[/QUOT

hasa adanganye ili iweje?? its true mkeo anatoka matombo,lol
 
Mambo ya Mange Kimambi haya Huko Instagram nani akulipe wewe uende ukampokee Mgeni Acheni Uongo Shangazi enu ambaye ni Mke wangu Mimi ni mwalimu na anasema hakuna Kitu kama hiki
Eti shangazi enu... Kwa umri gani? Hata hivyo, kumbe huwa mnalipa wahudhuriaji ili wawe wengi kwenye kushangilia? Hahahahaaa!
 
Back
Top Bottom