Ameniacha eti sijui ku-care

Ameniacha eti sijui ku-care


So kutokana na majibu yako 60% ya care tunayotakiwa kuwapa nyie wanawake ni "money". Na 60% ya care mnayotakiwa kutupa sisi wanaume ni "sex". Nikiwaita wanawake prostitutes, au nikikuita wewe prostitute nitakuwa nimekosea? demi
 
Wangu aliponambia sijui kucare nikamwambia hebu orodhesha hapa vitu unavyotaka nifanye ili ujue kama najua kucare tofauti na nilivyofanya. Akasema huwa simpigii simu asubuhi ya kumsalimia kama rafiki yake anbaye husalimiwa. Nikamwambia siishi kwa kuangalia fulani anaishije.
 
So kutokana na majibu yako 60% ya care tunayotakiwa kuwapa nyie wanawake ni "money". Na 60% ya care mnayotakiwa kutupa sisi wanaume ni "sex". Nikiwaita wanawake prostitutes, au nikikuita wewe prostitute nitakuwa nimekosea? demi
Kwa mtazama wako hutakosea. Kama unaona ni sahihi sawa tu. Lkn ukweli ndio huo!
 
Back
Top Bottom