Sio kweli.
Kama uko competent unatoboa.
Binafsi nilihitimu 2012
Ajira portal nikajiunga 2018
2019 kazi zikatangazwa taasisi mbili tofauti kote nikaomba, nikaitwa kote
Kwa mara ya kwanza kufanya usail ajira portal from written, practical Hadi oral zote nikpata
Mimi ndio nikaanza kuchangua wapi...
katika secta yako, itakwezesha kutegneza mfumo wa upangaji wa matokeo ya wanafunzi, student registration system bt waweza tengeneza pia online ticket system za mabas ukawauzia wamiliki. yapo meng bt jthd ufaham c++,php, java programming na zingine
katika secta yako, itakwezesha kutegneza mfumo wa upangaji wa matokeo ya wanafunzi, student registration system bt waweza tengeneza pia online ticket system za mabas ukawauzia wamiliki. yapo meng bt jthd ufaham c++,php, java programming na zingine
Pole sana ndugu yangu jamaa ameanza tena mtindo wa kupeana 0 za quiz, me mwenyewe quiz 3 zote na zero. Nakushauri omba na afya, ukipata zote nenda ualim pako vizuri
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.