Maisha ya vyuoni vs Maisha ya mtaani

Maisha ya vyuoni vs Maisha ya mtaani

da sawa .ila tatizo ni kwamba mtu kama mimi nmejiajili ila nataka hata niende chuo sasa naofia kutoka alafu biashara zangu zikakwama sahizi niko dillema nisome kwanza au nifanye biashara kwanza?
Fanya vyote
 
HUO NDIO UMASKIN WAKO. NAJUA NIMEKUFUSA. ENDELEA NA HIZO STAREHE UTAKUWA MASIKIN MPAKA BASIIIIII

Asante kwa utabiri, pesa inatafutwa mkuu. Don't get twisted. Mi sisomei kubana matumizi, natumia hizi zilizopo na nikimaliza chuo nitatafuta pesa nyingi nyingine. Tumia pesa ikuzoee.
 
kweli wew ni mtoto wa kiume unasema hivyo.labda lama ni binti sawa fanya starehe za kutosha tu lakni mwanaume unasema hivyo du mbona hata mke watakutunzia wenye hela zao.

Binadamu waoga kama nyie ndio mnasaidiwaga kulea familia, I LIVE ACCORDINGLY.
 
Asante kwa utabiri, pesa inatafutwa mkuu. Don't get twisted. Mi sisomei kubana matumizi, natumia hizi zilizopo na nikimaliza chuo nitatafuta pesa nyingi nyingine. Tumia pesa ikuzoee.
Ndio maana kumbe bado umeleweshwa na boom la chuo! boom limekufanya kuwa mjinga. HUKU MTAANI HAPASOMEKI SHAURI AKO.
 
Ndio maana kumbe bado umeleweshwa na boom la chuo! boom limekufanya kuwa mjinga. HUKU MTAANI HAPASOMEKI SHAURI AKO.

Sasa kama huko mtaani maisha ni magumu mimi inanihusu nini labda mkuu? Punguza uoga, nitayakabili tu hayo maisha ila kwa sasa am sorry....
weka shida pembeni kisha waiter..........
 
upuuzi huu. utakuwa maskin kwa ubishi usio na msingi

Hii tabia ya kupiga ramli kwa wenzio kuwa masikini itakugharimu, tutaombana msamaha bila sababu za msingi, naomba usiendelee na utabiri wa umasikini. Acha
 
Sasa kama huko mtaani maisha ni magumu mimi inanihusu nini labda mkuu? Punguza uoga, nitayakabili tu hayo maisha ila kwa sasa am sorry....
weka shida pembeni kisha waiter..........
hahahaaaaa hizi elimu za division 5 loh.
 
Sasa kama huko mtaani maisha ni magumu mimi inanihusu nini labda mkuu? Punguza uoga, nitayakabili tu hayo maisha ila kwa sasa am sorry....
weka shida pembeni kisha waiter..........
kumbe mlugo aliharibu watu wengi sana!
 
Hii tabia ya kupiga ramli kwa wenzio kuwa masikini itakugharimu, tutaombana msamaha bila sababu za msingi, naomba usiendelee na utabiri wa umasikini. Acha
mlugo aliharibu watu kibao hata huelewi loh!
 
Back
Top Bottom