Baadhi yao wanajua kama wanaitwa wazungu hasa hasa wale waliopata nafasi ya kuishi na wabantu kama sisi huku East Africa. Kwa mfano mm nafanya kaz kwa wakaburu hapa GGM ila watu wanasemaga nafanya kaz kwa wazung na wao wanajua kabisaa kama tunawaita wao ni wazung na sometimes kwenye utan huwa...
Ni kweli mwenye mamlaka ya kuteua na kumtoa mkuu wa mkoa ni Rais. Ila pia tukumbuke Nape hakuunda tume ya kumvua makonda ukuu wa mkoa bali ni kuchunguza kile kitendo cha uvamivi na majibu ya tume ndo yatakayo tumika ama kumfungulia kesi ya uvamiz na matumiz mabaya ya madaraka au kuachana nae...
Hapo ss yani nilikuwa nataka nikamtwange makofi jamma mmoja hiv namdai hela hapa jirani nikifikiri hawezi kushtaki mpaka serikali iamuee[emoji1] [emoji1] [emoji1]
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.