Sehemu ya utambi wa koroboi uliopo ndani ktk mafuta ya taa haujui kama sehemu yake ya juu inateketea kwakuwa mafuta ya taa ni ya baridi. Tafuta mapema pakukimbilia maana hatutatoboa bukumbili na kumi na moja lazma kieleweke. Una homoni za fisi tafuta fisi wenzio muhame.
Wazo lake ni zuri, huo ni mtizamo wake lakini je (1)ccm imewasaidiaje wasomi wanaodhurura na kushida kijiweni na digirii zao posipo na ajira baada ya kuipata elimu hiyo kwa mbinde (fedha kiduchu ya kujikimu mikopo ya ada inayotoka kwa kushinikizwa na maandamano ilhali ni haki yao hasa watoto wa...
Serikali iliyopo madarakani ndio ilitenda huu unyama uliovuka mipaka na unaokiuka hata amri za Mungu. Sio rahisi ijichimbie kaburi yenyewe, kwa kudra zake Mungu tukifanikiwa kuibadilisha serikali hii onevu na kiziwi ya manavu yote yatafanyiwa kazi na wahusika watawajibishwa vinginevyo tutasaga...
Huyu shuhuda wa babu wa loliondo sijui kwanini alipewa kikombe, hana haja ya kujinyonga atanyongwa na sukari. Ile ni kesi ukimkamata ukamlisha sukari kinaeleweka parapanda za kutosha tunawapelekea vunjo kichwa chao walichoona kinafaa kuwawkilisha bungeni.
Kazi kidogo huyo mom anapenda chapaa zaidi na wadogo zako wanamtoa zaidi. Fanya hivi, waulize ndugu zako wanaichukuliaje hiyo hali? Wanafurahishwa? Kama hapana watatatuaje tatizo? Kama watakupuuza hunabudi kufanya mambo yako kimyakimya na kukubaliana na hali ulionayo ikosiku utakuwa na thamani...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.