Libyan Lebels ni sawa na CHADEMA nchini, tukiwachekea watatuletea maafa!

Chama kinachopoaswaa kuogopwa sana ni chama kile kinachosababisha vifo vya watz bila sababu kila siku. nitatoa mifano michache tena miaka 50 baada ya uhuru. Je, wajua kuwa wamama wajawazito wasiopungua 24 wana kufa kila siku. Kwa mwezi ni wangapi na kwa mwaka ni wangapi?

Je, miaka 17 ya Mkapa na jK hesabu zao ni ngapi?

Huku ufisadi kwenye afya ukiwa uko ktk kiwango cha kutisha. Vifo hivi ni vibaya kuliko hivyo unavyovihisi ambavyo huna uhakika navyo? Je, majimbo ambayo chadema ni chama tawala kuna vita?

Watoto chini ya miaka mitano wanaokufa kutokana na ufisadi wa ccm unajua idadi yao? Watz maskini wa kutupwa sasa wamefikia mil 12 na ni sawa 33%. Wengi wao wanakufa hovyo kwa kuwa hawawezi kujitibu miaka 50 baada ya uhuru.

Rasilimali zinaporwa ovyo kila kona sisi tu maskini. Tunatafuta kupigiwa makofi kinafiki na wazungu. Chadema ni tumaini jipya la watz mkuu.
 
Poor thinking, nini maana ya mfumo wa vyama vingi kama inailinganisha chadema na waasi,hivyo una maana watanzania wote ni waasi pamoja na wewe kwani kule ambapo wananchi wamechagua upinzani ccm ni waasi?
 
Chadema ni waasi kabisa...naomba itangazwe rasmi kua chadema ni janga la kitaifa kama malaria na ukimwi..mtuliepuke jamani..mwatanzania hamjazoea vita acheni kuwaendekeza wajinga wachache wenye uchu wa madaraka kwa propaganda za kutetea haki za watanzania na wengine vibaraka kama CUF na MTIKILA...fungueni macho yenu watanzania

Leo ndio mtajua kuwa kutegemea nguvu ya dola kushinda chaguzi itafika mahali haitawezekana tena. Hii ni elimu nzuri sana kwenu kuwa hata uwe na jeshi kubwa namna gani wenye nchi yao wakiitaka wanaichukua tu.

Nobody can afford to miss this lesson.
 
Afrika hajawah kutokea na hatokuja kutokea rais mzalendo and mwenye msimamo kama gadaf! Cdm wanaua watu wao wenyewe halaf wanasingizia ccm ili wapate popularity kwa wananchi and kuchonganisha! Cdm ni waroho wa vyeo na fedha

You are entitled to your opinions, Gadafi is gone, watu wake wenyewe wamemkataa, he is not coming back, you need to pick up the pieces and move on.

Walibya wanaunda taifa lao jipya na huyo mzalendo wako soon utamsahau.
 
umeongea kinyume kaka, hakuna waasi libya ila NTC walikuwa waasi kwa gaddafi
lakini sasa hiyo ni NEW GOV ya libya na leo wamekabiziwa kiti chao rasmi UMOJA WA NCHI ZA AFRIKA
au hujui maana ya waasi? hata nyerere alikuwa muasi mbele ya mkoloni, tumia bichwa hilo sio kukariri maneno

Wale wote wanamuona Gadhafi kuwa kaonewa waangalie raia wa Libya. Libya sio Tanzania wala Libya sio Kenya ,Libya niya ya raia wa Libya wenyewe.Kamwe Mpe kila Kitu Mwanadamu lakini usimnyime uhuru wake,ndio maana wenye akili zao [THINK BIG} wamempa Jakaya Kikwete zawadi ya DK kwa kuwa wanajua mchango wake kwenye haki na ujenzi wa demokrasia,leo hii mimi na wewe tuko kwenye uelewa huu,yeye kama yeye angeweza kuwa mbabe tu kama Rais alie pita.Lakini kwa upande na uwezo wake kaamua waache wanatanzania wajue ukweli kisha wataamua wao.

Walibya walipewa kila kitu lakini wakakosa uhuru wao, uhuru wa siasa,uhuru wa kujieleza na uhuru wa kuamua ambao ni haki ya kila raia yoyote chini ya uso wa dunia kwa kuwa siasa ni sehemu ya maisha ya wanadamu.

Leo hii ni kweli kama wewe na mimi ni moja ya watu wanao fikiri zaidi [THINK BIG] hapa Nchini usione Watanzania wanafumuka KIUFAHAMU hivi walivyo ukafikiri imekuja hivi hivi. Uhuru huo sio vya kuelea ni gharama kubwa sana kuna tafiti halisi nyingi zimefanyika [Research] juu ya nini kifanyike ili kupanua demokrasia na uhuru wa watanzania kujua Nchi iendeshweje huku kukiwa na mvutano wa kimakundi katika jamii,kama Mafisadi dhidi ya Umma,Bunge dhidi Ya Serikali,Serikali dhidi ya Wananchi na Vyama vya Kisiasa,Vyama vya Kisiasa na Umma,Makundi ya Kijamii na asasi za kiraia dhidi ya Serikali na umma,Mafisadi dhidi ya vyama vya kisiasa na kada nyingine za kiuchumi.

Hayo yote hayakuibuka bali yalifanyiwa utafiti kabla ya leo kuyaona yakiendelea,kwa kuwa kuna kitu kinaitwa STEREOTYPE sijui tafsri yake kiswahil lakini ni juu ya tabia halisi za kijumla za jamii, inajulikana kuwa Mnaigeria ni agrressive and louder,Mmarekani ni mshindani [Competitors], Leader na kimbelembele na ,Mwingereza ni boastful na Superior, Mkenya nae ni agrressive, watanzania ni wapole, na wasikivu, wavumilivu,wasio jali lakini wasioeleweka [Unidefined].

Kwa wataalamu hii ni kazi sio swala la kukulupuka na ukipata Rais msikivu na mwelewa wa tabia za raia wake basi Nchi ndio unasikia INAFANIKIWA SANA [PROSPER].

Uhuru tulio nao kuna viongozi wengine wanamzodoa Kikwete kuwa kashindwa lakini UKWELI KASHINDWA KWA KUWA KATUACHA NA UHURU KUAMUA WENYEWE.Nchi haitawaliwi na Rais pekee bali pia kuna matabaka ya kimfumo na kama wanataaluma, wasomi, ambao hawajasoma,wakulima,wafanyakazi,watoto,wakina mama,wakina baba,vijana, wafanyabiashara wadoggo kwa wakubwa na nk.Ili taarifa likue kama mtoto Mdogo anavyotoka kutambaa mpaka kusimama na baade kuongea na kukimbia na kuwa Mtu kwenye jamii ndivyo vivyo Taifa linavyopita.Migongano na mifumuano kwenye Taifa ndio zao la Taifa kutoka hatua moja ya maendeleo.Hivyo kwa tabia za raia wa Nchi ndio uamua Mwenendo mzima wa misuguano ya kijamii kuwa njia zipi zitaibuka katika misuguano hiyo katika kudai haki za kimakundi na hatimae haki za Kitaifa.

Kikwete angeweza kwa uamuzi wake kuzuia kwa nguvu taarifa zozote za muhimu juu ya chochote anachoona ni cha hatari kwa Serikali yake
1: Angeweza kuwa Mkali [Strictly=Purely] kwa uhuru wa habari,taarifa na ufahamu [Ambao ni kitu Muhimu kwa ustawi wa Taifa lolote lile]
2: Angeweza kuwa Mtawala mmbabe kwa raia na yoyote atakae msema vibaya hivyo akawa anataka kusikia mazuri ya kusifiwa tuu.
3: Ama kuchagua la kuwa Mwenye kuuma na kupuliza kwa kuangalia nani zaidi kati ya Umma na Watawala na Washirika wa Kiutawala kikundi kidogo.
4: Ama angeweza kuamua kushirikiana na washirika wa watawala yaani kikundi kidogo cha wachache kuamua kuitafuna Nchi wo kama wao.
5: Ama angeamua kushirikiana na Umma [Majority] Kama Mwalimu Kujenga Nchi kwa kuangalia raia mmoja mmoja atafanikiwa vipi na kuwa na ustawi wake kama mwenye mchango katika Taifa.
6: Angeweza kuamua kuwa mfalme na kuanza kuunda mfumo wa namna ya kuwalithisha wanafamilia yake pindi akitaka kutoka madalakani.

Hayo yote ni uamuzi wa Rais kama yeye kwa kuwa amekuwa vested na Wananchi.Japo kwa kuabuse mamlaka aliopewa na wananchi ndipo misuguanao ya kimaslahi kati yake na walio mpa mamlaka hayo unapoibuka.

Ndio kuna maeneo ambayo Jakaya Kikwete ametenda ndivyo sivyo lakini kwa wenye upeo wa falsafa za maisha wanaona ndio na yeye kafikia uwezo au kikomo chake kibinadamu ulipofika na mapungufu yake kama binadamu. Mfano sehemu ambayo angepaswa kuwa mkali na kuamua amebaki kuwa mpole wa tabia ya kitanzania na asieleweka [Undefined] .Na kingine ukiludi kwenye tabia ya jumla ya Watanzania,upole, uvumilivu na kuwa mtu usie eleweka kwa kutenda au kunena [Undefined].


Na kwa sasa raia wa Tanzania kupitia style ya uendeshaji Nchi wa Rais Kikwete Rais ajae Umma unataka Kuona ni Rias asie na Mzaa,hivyo kama wanataka Rais asie na mzaa sio kuwa hana mzaa na mafisadi bali hana mzaa na yoyote yule kwenye swala la sheria, haki na wajibu hakika ukiambiwa usikojoe hapa kisha ukakojoa ukitegemea yaleyale ya Kitanzania mwanangu poa, imekula kwako.Kila raia itabidi kutimiza sheria ukiambiwa usijenge hapa maan iwe hiyo.Ila katika mivutano ya kitabaka CCM kuendelea kuibua tabia ya kukumbatia siasa za kimakundi zimeonyesha kuwa Tanzania haitaki siasa za kimakundi na siasa za watu kujilimbikizia Mali kwa njia za kuibia Serikali na Udanganyifu kwa Umma.

Hivyo Gadhafi, Sadam
ni matokeo ya walichokijenga wenyewe ukiua kwa upanga utakufa kwa upanga,what goes around comes around,dunia hii mtawala atakae tawala na kuishi vyema ni yule atakae tawala kwa kutetea Raia zake walio wengi [Majority] na si kuunda kakundi ka watawala kuwadhulumu walio wengi ambacho ndicho kitu Mwalimu alikiona kabla ya uhuru na baada ya uhuru na maisha yake yote akiwa hapa dunia.
 
Kweli wewe mbumbumbu!
Na kweli utakufa masikini na chama chako, aliyekwambia ccm ndio inaleta amani, usiwe na fikra potofu kiasi hicho simama utoe hoja zenye maana kuitoa nchi kwenye hili dimbwi la umasikini.
 
Everybody dunian anajua tz ni kisiwa cha amani! Misingi na identity ya taifa letu ni amani yetu iliyotukuka! Cdm wanataka kubomoa mising yetu ya amani

Naiman jinsia yako ya uke ndio inayokufanya usapoti magamba. Wanaume wakwel mabadiliko daima.
 
Risasi imepiga kwenye mfupa ngoja uone Pro wa CDM watakavyo react na kujibu utumbo km kawaida yao !
 
Mie nawashangaa sana wanaomtetea Gaddafi kuwa Kiongozi bora. Awezaye kujua kiongozi huyu ni bora mara nyingi ni yule anayeongozwa naye kwanza kabla ya wengine hawajatoa mawazo yao.

Tumeshuhudia wananchi wa Libya walivyo jimwaga mitaani kushangilia baada ya kung'oka kwa Gaddafi sie huku nje tunawaona wenye nchi yao eti hawajui wafanyacho na kuwa wamefanya makosa kumwondoa kiongozi WAO MZURI.

Gaddafi kutusaidia na kutujengea Misikiti isiwe sababu ya kuwadharau raia wa Libya na maamuzi yao. Maamuzi juu ya Libya iweje tuwaachie wenyewe hata sie tuachiwe na mataifa ya nje tutakapo kufanya mageuzi.
 
Kwa jinsi ulivyolalamika inaonesha wewe tayari ni maskini na umeikubali hali hiyo na umeshakata tamaa kabisa. Nahisi pia na umri wako ni wa uzeeni ndo maana unaogopa kufa. Kaa na umaskini wako (unaosema bora uwe nao ukiongozwa na CCM),tuache vijana tuitafute haki ili kujenga taifa jipya lenye maendeleo na kuheshimiana.


Umemjibu kiungwana sana. Ukikuta kijana anashabikia CCM kuna mambo haya:

1. Mzazi wake au ndugu yake wa karibu yuko CCM (serikalini) na anabefit kutokana na position yake hiyo kama kusomeshwa nje, Kutibiwa nje ya nchi au hata kupewa nafasi nzuri serikalini.

2. Kijana anatafuta mwanya wa kujipenyeza ili nayeye baadae achukue chake mapema (Wizi)

3. Ni kijana ambaye anaendesha maisha yake kwa kujipendekeza kwa watu ili apewe chochote

4. Anabiashara yake haramu hivyo anatafuta kujisafisha serikalini.

Unaweza kuongezea.
 
kwanza alieanzisha mada anafikiria kwa akili zake mwenyewe ama, mm naona anatumia makalio kufikiria au yy na magamba tumpeleke mirembe akapimwe akili kwanza.

Tz ya leo inahitaji uongozi unaojali matatizo yao na si kujuana na ufisadi unaondelea.Kama CCM ni bora kuliko CDM, mbona ni miaka 50 ss ya uhuru hatuoni mabadiliko ya kweli na uongozi ulioko madarakani ni kama genge la alshabab.

CCM kazi yake kulazimisha wananchi waipende huku wakiiba na kutaka kurithisnhana uongozi....Out 2015....
 
Kauli mbiu ya cdm ni nguvu ya umma, kauli mbiu ya waasi wa libya nayo ni nguvu ya umma, what a coincidence!!! Waasi walianzia kule benghazi kama utani flani hadi leo wamemwua mzalendo wa ukweli and mwafrika wetu halisia gadaf, cdm wanaanza kama utani huko Arusha na Moshi na tukiendelea kuwachekea hawa waroho wa madaraka tutashuhudia siku wanaingia ikulu na kumchinja jk wetu na magwanda yao kama chinjachinja!! Sipendi cdm wanachofanya,sipendi vurugu and ukosefu wa amani!! To me bora niwe maskini chini ya ccm na amani yangu ya kutosha kuliko kuwa tajiri chini ya cdm kwa gharama ya damu ya watz wenzangu wasio na hatia! Go ccm, go jk, go nape! I believe the new ccm is coming soon,ccm itayotutoa hapa tulipo kutupeleka sehemu nyingine ya neema zaidi! Watanzania nawasihi tuwaepuke hawa cdm, watatuletea maafa makubwa huko mbele, they are just serving their own stomachs! Libyan rebels=CHADEMA!! El 4 2015
Sehemu ya utambi wa koroboi uliopo ndani ktk mafuta ya taa haujui kama sehemu yake ya juu inateketea kwakuwa mafuta ya taa ni ya baridi. Tafuta mapema pakukimbilia maana hatutatoboa bukumbili na kumi na moja lazma kieleweke. Una homoni za fisi tafuta fisi wenzio muhame.
 
Kauli mbiu ya CHADEMA ni nguvu ya umma, kauli mbiu ya waasi wa Libya nayo ni nguvu ya umma, what a coincidence!!! Waasi walianzia kule benghazi kama utani flani hadi leo wamemwua mzalendo wa ukweli and mwafrika wetu halisia Gadaf.

CHADEMA wanaanza kama utani huko Arusha na Moshi na tukiendelea kuwachekea hawa waroho wa madaraka tutashuhudia siku wanaingia ikulu na kumchinja JK wetu na magwanda yao kama chinjachinja!!

Sipendi CHADEMA wanachofanya, sipendi vurugu and ukosefu wa amani!! To me bora niwe maskini chini ya CCM na amani yangu ya kutosha kuliko kuwa tajiri chini ya CHADEMA kwa gharama ya damu ya watz wenzangu wasio na hatia!

Go CCM, go JK, go Nape! I believe the new CCM is coming soon, CCM itayotutoa hapa tulipo kutupeleka sehemu nyingine ya neema zaidi!

Watanzania nawasihi tuwaepuke hawa CHADEMA, watatuletea maafa makubwa huko mbele, they are just serving their own stomachs! Libyan rebels=CHADEMA!! El 4 2015
Kama hauko kwenye maafa chini ya serikali ya magamba basi wewe ni FISADI au mmojawapo wa mahawara lukuki wa viongozi wa magamba. Kama wewe uko hivyo kweli tegemea hali mbaya wakati wa ukombozi wa mamilioni ya watanzania mliowageuza watumwa!!!
 
Chadema ni waasi kabisa...naomba itangazwe rasmi kua chadema ni janga la kitaifa kama malaria na ukimwi..mtuliepuke jamani..mwatanzania hamjazoea vita acheni kuwaendekeza wajinga wachache wenye uchu wa madaraka kwa propaganda za kutetea haki za watanzania na wengine vibaraka kama CUF na MTIKILA...fungueni macho yenu watanzania
Uelewa wako una utata, unahitaji uende shule upya ili uweze kuelewa, waasi na wapinzani ni vitu viwili ambavyo hata mwanao hawezi kuvichanganya! kwa hivi muulize atakufundisha, janga la taifa ni kitu ambacho kina muelekeo wa kuleta maafa, CHADEMA wana wabunge, madiwani na wanauongozi wa kambi rasmi na serikali inatoa facilitation kwa kutambua hilo, acheni siasa za kuishiwa ninyi, hamna hata haya mlishawishi waislam uchwara wasiwapigie kura CHADEMA mkasahau wakristu wapo wengi mno CCM na waislam wenye akili zao wapo CHADEMA vilevile, ukitaka kufa na umaskini wahi sasa kabla CHADEMA hakijapanda madarakani, kunywa hata sumu kwa sababu ukweli kwenu ni tatizo, fikiria na hao wanao uone kama wataweza kuishi katika hali hii ya CCM, usipoteze muda kunijibu huna hata fikra moja, umesahau juzi CHADEMA ilipata kura nyingi mno kuzidi CCM pale Igunga, na tutabadilisha utaratibu wa kupiga kura ninyi msio na fikra hamna haki ya kuchagua viongozi, subirini tuwasemee misukule ninyi!
 
wewe ni maskini wa fikra. Na si ajabu hujui tafsiri ya Uasi na si ajabu hauna uzalendo wala uelewa sahihi wa serikali na wajibu wake.CHADEMA kuua watu ni kosa la jinai na vyombo husika vingetoa taarifa ya walioua and not you!!! Chunguza siasa za Tanzania na matukio yake kisiasa yasiyozungumzwa ndani ya chama tawala ndo uonishe na ujasemayo. Hakuna vigezo vya kufananisha uasi wa Libya na CHADEMA.
 
Chadema ni waasi kabisa...naomba itangazwe rasmi kua chadema ni janga la kitaifa kama malaria na ukimwi..mtuliepuke jamani..mwatanzania hamjazoea vita acheni kuwaendekeza wajinga wachache wenye uchu wa madaraka kwa propaganda za kutetea haki za watanzania na wengine vibaraka kama CUF na MTIKILA...fungueni macho yenu watanzania

Duuh! we ni bakwata! au Riz One!!! any way!! lkn basi shiing ngapi umepewa kiasi ujiondoe akili nakuitia masaburini?
 
Kauli mbiu ya CHADEMA ni nguvu ya umma, kauli mbiu ya waasi wa Libya nayo ni nguvu ya umma, what a coincidence!!! Waasi walianzia kule benghazi kama utani flani hadi leo wamemwua mzalendo wa ukweli and mwafrika wetu halisia Gadaf.

CHADEMA wanaanza kama utani huko Arusha na Moshi na tukiendelea kuwachekea hawa waroho wa madaraka tutashuhudia siku wanaingia ikulu na kumchinja JK wetu na magwanda yao kama chinjachinja!!

Sipendi CHADEMA wanachofanya, sipendi vurugu and ukosefu wa amani!! To me bora niwe maskini chini ya CCM na amani yangu ya kutosha kuliko kuwa tajiri chini ya CHADEMA kwa gharama ya damu ya watz wenzangu wasio na hatia!

Go CCM, go JK, go Nape! I believe the new CCM is coming soon, CCM itayotutoa hapa tulipo kutupeleka sehemu nyingine ya neema zaidi!

Watanzania nawasihi tuwaepuke hawa CHADEMA, watatuletea maafa makubwa huko mbele, they are just serving their own stomachs! Libyan rebels=CHADEMA!! El 4 2015


hapo kwenye Bold nimecheka mpaka basi yaani, ni sawa na Ghadaf wakati anapigwa yeye alikuwa anaendelea kujipa moyo, na kwa maneno yako hapo juu imeonyesha ni jinsi gani ulivyo mchovu wa fikra....
 
Back
Top Bottom