Mikael Aweda
JF-Expert Member
- Dec 17, 2010
- 2,973
- 3,901
Chama kinachopoaswaa kuogopwa sana ni chama kile kinachosababisha vifo vya watz bila sababu kila siku. nitatoa mifano michache tena miaka 50 baada ya uhuru. Je, wajua kuwa wamama wajawazito wasiopungua 24 wana kufa kila siku. Kwa mwezi ni wangapi na kwa mwaka ni wangapi?
Je, miaka 17 ya Mkapa na jK hesabu zao ni ngapi?
Huku ufisadi kwenye afya ukiwa uko ktk kiwango cha kutisha. Vifo hivi ni vibaya kuliko hivyo unavyovihisi ambavyo huna uhakika navyo? Je, majimbo ambayo chadema ni chama tawala kuna vita?
Watoto chini ya miaka mitano wanaokufa kutokana na ufisadi wa ccm unajua idadi yao? Watz maskini wa kutupwa sasa wamefikia mil 12 na ni sawa 33%. Wengi wao wanakufa hovyo kwa kuwa hawawezi kujitibu miaka 50 baada ya uhuru.
Rasilimali zinaporwa ovyo kila kona sisi tu maskini. Tunatafuta kupigiwa makofi kinafiki na wazungu. Chadema ni tumaini jipya la watz mkuu.
Je, miaka 17 ya Mkapa na jK hesabu zao ni ngapi?
Huku ufisadi kwenye afya ukiwa uko ktk kiwango cha kutisha. Vifo hivi ni vibaya kuliko hivyo unavyovihisi ambavyo huna uhakika navyo? Je, majimbo ambayo chadema ni chama tawala kuna vita?
Watoto chini ya miaka mitano wanaokufa kutokana na ufisadi wa ccm unajua idadi yao? Watz maskini wa kutupwa sasa wamefikia mil 12 na ni sawa 33%. Wengi wao wanakufa hovyo kwa kuwa hawawezi kujitibu miaka 50 baada ya uhuru.
Rasilimali zinaporwa ovyo kila kona sisi tu maskini. Tunatafuta kupigiwa makofi kinafiki na wazungu. Chadema ni tumaini jipya la watz mkuu.