Hao jamaa ni balaa, nilikata tiketi ya 95k kutoka dar kwenda tarime, muda wa safari ulivofika wakaleta gari ya 85k, nilivouliza nkaambiwa dakika za mwisho mafundi wao walisema gari haiko sawa kwaio haiwezi kusafiri, nikaomba kurufishiwa kilichozidi, wakasema wanasubiri gari ikianza safari abiria...
Mwezi uliopita mke wangu alienda kuanza kliniki kwa mara ya kwanza, vipimo alivyofanyiwa kwa mana ya kuchekiwa HIV, wingi wa damu na chanjo na kuanzishiwa kadi ya clinic, alilipishwa 38k
Ikiwa nimenunua kiwanja kihalali, na mikataba yote, na ikapita miaka 5 bila kufanya transfer ya umiliki, kisheria naweza kupoteza umiliki wa kiwanja hicho?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.